Nyie mnaonaje kuhusu hili

Its hard to tell mana kuna mda naona ananipenda tu na hajaonesha dalili za kucheat...
But again maybe am blinded kwa kumpenda idk
Kinachofanya uone anakupenda ni kipi ebu tuanzie hapo
Pesa au vizawadi hatoi
Hataki muonekane km n lover's
Hakubembelezi
Mwenye visasi
Gubu
Dada hapo tena unataka uokote nyumba kariakoo au
 
Pole sana mapenzi ya siri mnamfichia nani ukiona hivyo ujue huyo ni mume wa mtu kiufupi huyo jamaa hakupendi ni ukweli unaouoma lakini ndio ukweli wenyewe ndio tatizo la kuwa kwenye mahusiana na wanaume mahb

Halaf usiseme hujawahi kumuona na dalili za kucheat achana na hivyo viumbe siku utakapojua ana mke na watoto sijui utakufwa
 
Hapana aisee, hana msaada wa kifedha wala kimawazo mahusiano gani hayo?

Nadhani kuna vitu vinahitaji maelezo zaidi kabla ya kumhukumu huyo jamaa, mfano "sio muongeaji" sasa najiuliza alimtongozaje bibie? au ndio mahusiano yalianza baada ya wahusika kukutana kwenye mazingira rafiki hivyo hakukuwa na haja ya kutongoza au ku-convince. Hilo la mchango wa mawazo huenda bibie huwa anachombeza sana jamaa anapozungumzia sex kuliko wakati jamaa akizungumzia vitu vingine hivyo jamaa anafunguka kikamilifu😀😀
 
wewe endelea kupanua miguu tuuu iko siku utakua mkubwa
 
njoo inbox basi mimi nakoboa kiloho safi
 
Swali la msingi ANAKUKAZA VZR?hayo mengine mbwembwe tuu
 
Sielewi mpaka sasa hivi unamfuga wa nini!
 
Ndio wako huyo komaa naye mpaka kileleweke
 
Aspokuelewa atakua n majibu yake binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…