Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Ooh,my unni mambooKabisa my noona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh,my unni mambooKabisa my noona
Wewe umenielewa eeh... haya nilipe.Aspokuelewa atakua n majibu yake binafsi
Basi mfanye siri lakin awe anajali,,yaan nakuambia kuna wanaume wabinafsi hao,,lakin kuna wanaume huwahurumia wanawakePole sana mapenzi ya siri mnamfichia nani ukiona hivyo ujue huyo ni mume wa mtu kiufupi huyo jamaa hakupendi ni ukweli unaouoma lakini ndio ukweli wenyewe ndio tatizo la kuwa kwenye mahusiana na wanaume mahb
Halaf usiseme hujawahi kumuona na dalili za kucheat achana na hivyo viumbe siku utakapojua ana mke na watoto sijui utakufwa
Unapatikanaga kwa machale sana....ila maneno yako hufunga mjadala..idk idk idk (I dont know)has been used repeatedly in your article and it implies alot.
Do you even know what you want from a relationship young lady?
Drop that nigga first, then before falling into the arms of another man, understand what it is that you want.
By the way, if it smells like fish, it proly is fish. He is using you. Say good riddance to him.
Ukweli mchungu huu!Kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu
ninavyokuona mjanja humu kumbe kuna kidume kimekugeuza
'demu wa kupita njia'..
yaani jamaa anazumgumza akitaka sex tu na bado hujamuelewa anavyokuchukulia?
na hataki mjulikane?
The truth huyo jamaa anapenda tu mwili wako but hakupendi na anaona
aibu kuwa na wewe hadharani.....na hana future na wewe...
but sex ni tamu naona so anaenda na wewe kihivyohivyo....
wewe ndo bado hujui unatumika......pole sana
Nipo aisee.Unapatikanaga kwa machale sana....ila maneno yako hufunga mjadala..
Inasikitisha kwakweli kuona binti wa Chuo Kikuu tena mjanja wa hapa MMU....anashindwa solve ishu ka hii..
nasaga mademu wenzanguJoyce unakoboa nini?