Imenibiddi niingie Dstv app ninaona hapa watu wanapokea mahela.Uko unachek mana wako Live,ofcos kuna vituko
Kka mimi nipo hapa nimepokea muuj8za gawio la mpesa 80tshKwa mara ya kwanza nimecheka muujiza kha.
Karibu bilioni 470 za kitanzania😅Kuna mambo mengine hata kukanusha haina maana, nafikiri huelewi 200M USD ni nini na/ au unafanya mzaha tu.
😁😁😁😁 Wajinga ndio waliwao... Kipindi Fulani nilipita Zimbabwe, nikaambiwa alifukuzwa Zimbabwe na Mugabe, alifanya mkutano kama huu akagawa hizo miracle Money.. Akaitwa na Mugabe kipindi hicho anasuction uchumi uko down, akamwambia kama Mungu wako Kanagawa hela basi atujazie hela hazina.. Jamaa yakamshinda... Mugabe akamtimua😁😁😁Mi nachek a Sana hasa nikimwangalia Pastor kapola jinsi nilianza kumwamini.. Dah kumbe nae chama la wana wa miujiza hewa.... Dah Kapola umejiharibia Sana Brother... 😥😥Kwny harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwny simu zao mmoja apa kapokea 43k mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwmb izo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini km muamala,pesa zngne kashika anazigawa ovyo
Jamaa sijui ni mnaija ama mkongo huyu yaan ana moto ye ndo anawatafuta waliopokea miamala🤣🤣🤣🤣🙌
Halafu aposto ni pisi kali. vazi limemkaa vyemaKka mimi nipo hapa nimepokea muuj8za gawio la mpesa 80tsh
Huyu nabii ndo anasema anachukua pesa zilizobak majini ndo izo watu wanapokea ko wanaopokea miamala wasiulize zinatoka wapi,yy anazikusanya pesa zote zilizopotea dunianiTitanic chini ya maji pesa za kazi ganH
Wengne wanakutana na pesa kwny wallet asee noma sana,bi mkubwa kakuta buku 2 kwny wallet
Uko serious mkuu,huwa natafuta sababu ya kuamini haya mambo ila sjawah pata huwa yanaweakness sanaKka mimi nipo hapa nimepokea muuj8za gawio la mpesa 80tsh
Nikupitie kesho twende mkuuHalafu aposto ni pisi kali. vazi limemkaa vyema
Minyama fulani makin sanaHalafu aposto ni pisi kali. vazi limemkaa vyema
Ujinga ni kipaji🤣🤣USD MZEE kwny simu watu shaz Leaders wengne wanashangaa pesa zinawafata mikononi mwao
HahahaNikupitie kesho twende mkuu