Nyie wa Dar hampo Leaders mpokee miamala ya miujiza ya huyu Nabii?

Nyie wa Dar hampo Leaders mpokee miamala ya miujiza ya huyu Nabii?

Kwenye harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar.

Watu wanapokea miamala ya miujiza kwenye simu zao mmoja apa kapokea 43,000/= mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc

Anachosema huyu Nabii kwamba hizo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini, yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini kama muamala, pesa zingine kashika anazigawa ovyo.
Swala la Dp World limewashinda mnaanza kua wambeya sasa
 
Tony kapola kajiharibia. Ninmchungaji kijana anayechipukia na tayari alishanza kuaminiwa na mamia ya watu. Lakini kwa tukio hili la leo la pesa za miujiza atabaki na watu wachache Sana hususan wale wenye uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo
Mbaya zaidi huyu jamaa anakashfa za ufisadi kule Zimbabwe... Ila najua watu hawataelewa kwamba tunadili na wanamazingaobwe wasio na hofu ya kweli ya Mungu... Kama mtu hajaona Ile cover ya aljazira documentary aitafute Utube.. Hii hapa link ya kipengele kidogo tu, na episode ya kwanza. na
 
Mbaya zaidi huyu jamaa anakashfa za ufisadi kule Zimbabwe... Ila najua watu hawataelewa kwamba tunadili na wanamazingaobwe wasio na hofu ya kweli ya Mungu... Kama mtu hajaona Ile cover ya aljazira documentary aitafute Utube.. Hii hapa link ya kipengele kidogo tu, na episode ya kwanza. na
hayo sio mazingaombwe ni UPUMBAVU.
 
Kapola ukimsikiliza kwa umakini in btn lines na kama nimsomaji Mzuri wa Neno na Roho mtakatifu yu ndani yako, utamshtukia faster..yule sio mtumishi wa Mungu bali motivational speaker tena wa ule upande mwingine direct kabisaa..ndi maana kuna topics hutamsikia anazigusa hata kwa bahati mbaya..
Tell Us more Mkuu
 
Tony kapola kajiharibia. Ninmchungaji kijana anayechipukia na tayari alishanza kuaminiwa na mamia ya watu. Lakini kwa tukio hili la leo la pesa za miujiza atabaki na watu wachache Sana hususan wale wenye uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo
We huwajui watu wny imani zao,usingesema amepunguza wafuasi
 
Back
Top Bottom