Nyie wa Dar hampo Leaders mpokee miamala ya miujiza ya huyu Nabii?

Swala la Dp World limewashinda mnaanza kua wambeya sasa
 
Tony kapola kajiharibia. Ninmchungaji kijana anayechipukia na tayari alishanza kuaminiwa na mamia ya watu. Lakini kwa tukio hili la leo la pesa za miujiza atabaki na watu wachache Sana hususan wale wenye uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo
Mbaya zaidi huyu jamaa anakashfa za ufisadi kule Zimbabwe... Ila najua watu hawataelewa kwamba tunadili na wanamazingaobwe wasio na hofu ya kweli ya Mungu... Kama mtu hajaona Ile cover ya aljazira documentary aitafute Utube.. Hii hapa link ya kipengele kidogo tu, na episode ya kwanza. na
 
hayo sio mazingaombwe ni UPUMBAVU.
 
Wajinga ndiyo waliwao, watu tupo na wageni wa Dubai saa hizi tunachoma kondoo, huko leaders wanakwenda mapoyoyo tu.
Hebu toa location bana.

Hata kama tunaupinga mkataba, tusinyimane minuso walah😁
 
Tell Us more Mkuu
 
Tony kapola kajiharibia. Ninmchungaji kijana anayechipukia na tayari alishanza kuaminiwa na mamia ya watu. Lakini kwa tukio hili la leo la pesa za miujiza atabaki na watu wachache Sana hususan wale wenye uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo
We huwajui watu wny imani zao,usingesema amepunguza wafuasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…