Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Na hiki ndo watu hawakielewi, lissu hafai kuwa kiongozi wa ngazi ya juu Kwa character zake .Kwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.
Wenzake walienda ulaya wakarudi na investment, yeye karudi na maboksi ya dikshenariHiki kizungu ni kikali sijaambulia chochote jamani.
We Ngabu kuwa na adabu unatuwekea mavizungu magumu kwani ulitusomesha wewe??
Unikome. Nimeishia La saba.
Cc: Lucas Mwashambwa chiembe ChoiceVariable Labella Extrovert
Tulia ww 🌈Bibie….tafadhali sana.
Na mimi pia nilimwambia hivyo hivyo.Hiki kizungu ni kikali sijaambulia chochote jamani.
We Ngabu kuwa na adabu unatuwekea mavizungu magumu kwani ulitusomesha wewe??
Unikome. Nimeishia La saba.
Cc: Lucas Mwashambwa chiembe ChoiceVariable Labella Extrovert
Loser.Na mimi pia nilimwambia hivyo hivyo.
Anachanganyia kingereza sehemu zingine ambazo hakuna hata ulazima.
Kwa baadhi ya watu inaonekana kama ki ulimbukeni fulani.
Wacha uwongo wewe mbumbumbu. Kama hufahamu pandemic zinavyokuja na kutoka kaa kimya acha kusifia UPUMBAVU wa MagufuliIla hapo mwisho umechapia kidogo..ungepata kaelimu kidogo cha mass or herd immunity usingemtaja magu..alichokifanya magu ndio kinachokufanya leo unaongea hayo ya covid.
Dunia iliishiwa alternatives,na nchi chache zenye viongozi majasiri ndio waliifungua kwa nguvu,pamoja na casualties..wewe endelea kuamini wazungu kwa kilaa kitu...unganisha dots maisha yaendelee!
SawaLoser.
You can go kick rocks with open toed shoes!
Unaye mwambia ni mwana ayatollahNadhani wako sawa mkuu, vita ya kumtoa sultan Ayatollah nkurunzinza Mbowe siyo ndogo, inahitaji kila spanana itumike, si umeona presha ilivyo mzee anatoa kila aina ya mlio. Hata TAL akifanikiwa kukalia hicho kiti na yeye akaanza kukengeuka atapigwa tu spana.
LOL 🤣🤣🤣🤣Wanachopendea kwa Lissu ni ule uropokaji wake tu.
Ili mradi katika kuropoka huko anakuwa anawasema CCM au Mbowe, hata kama uongo, wao watameza kila kitu na kummwagia sifa tele.
Tupo, tukusaidieje?Hii vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ndani ya CHADEMA mimi naifurahia saaana.
Naombea isiishe. Nataka iendelee ili tuyajue mauchafu yao….kutekana, kuumizana, kudanganya, kuzusha, na mauchafu chafu mengine ambayo wamekuwa wakiyaficha huku wakijifanya ni watu wema sana walio na maadili mema.
Sasa, nije kwa hawa wafuasi wa Tundu Lissu, hususan hawa wa humu JF.
You people are mindless bots in human form.
You are in your own little echo chamber. You just blindly conform while waxing lyrical about how great your Dear Leader is.
Tundu Lissu ni kichwa. Lissu hamung’unyi maneno. Lissu hakopeshi. Usiombe kujikuta uko upande tofauti na Lissu, n.k.
Really? Seriously? That’s what we’re doing now?
You swallow all his BS and are too quick to ridicule those of us who dare question what comes out of his mouth!
Where is your free thinking?
Mmejitengenezea cult of personality. Lissu ndo kawa mungu wenu. Chochote atachofanya na kusema, mtashangilia tu.
Kesho akisema hagombei tena uenyekiti wa chama, mtampongeza na kumuunga mkono atakayemuunga mkono yeye, hata ikiwa ni Freeman Mbowe.
You are so far up your own fundaments.
Disgusting 🤮.
Waaambie kila jumanne tuna mnada mkubwa mnoView attachment 3194639
Nipo Simiyu hapa napeleka ng’ombe mnadani.
Hapa Kidinda, Simiyu kila Jumanne huwa kuna mnada wa mifugo. Karibu.
Uko Simiyu?Waaambie kila jumanne tuna mnada mkubwa mno
I like the last sentence!Kwa Lissu hamtopata kiongozi.
Mtapata mwanaharakati tu.
Drama hazitoisha.
But have at it coz I’m loving it 😀.
Duh! Halafu wanadai wanataka uhuru wa kujieleza!JF cha mtoto..
Clubhouse kuna room wana ku remove na kuku block kabisa usiposema unamuunga mkono TL 😃.
I wish TL afungue Kanisa
Yeah mkubwa!!! Niko bariadi, mtaa wa sima shule ya msingiUko Simiyu?
Shida nyingine ni kuwa wanadhani wako peke yao. Unawezaje kusema " no reforms, no elections" wakati kuna vyama zaidi ya 10 ambavyo viko eager kushiriki. Mwenyekiti Lissu atakaposusia uchaguzi, ACT-WAZALENDO wataziba pengo. Uchaguzi utafanyika, leader of the opposition atakuwa Zitto. CUF, NCCR na Chaumma wote watakuwa na wabunge na madiwani. CDM watabaki kulalamika Clubhouse.
Amandla...
Hata ikiwa ya Mbowe, ukweli unabaki pale pale. Chadema ikisusa kwa sababu hamna reforms, Act Wazalendo watakuwa chama kikuu cha upinzani Bungeni. Na hamna namna Chadema wanaweza kuzuia uchaguzi bila kushirikiana na wenzao ambao hawawaamini hata kidogo.No reforms, no elections, sio kauli ya Lissu, ni kauli ya CHADEMA.
Acha upotoshaji.
Hayo mengine uliyoyaandika kuwa CDM wakisusia uchaguzi,vyama vingine vitashiriki na kuuhalalisha, ni kweli kabisa.Hata ikiwa ya Mbowe, ukweli unabaki pale pale. Chadema ikisusa kwa sababu hamna reforms, Act Wazalendo watakuwa chama kikuu cha upinzani Bungeni. Na hamna namna Chadema wanaweza kuzuia uchaguzi bila kushirikiana na wenzao ambao hawawaamini hata kidogo.
Amandla...