Hio kawaida. Kuna story nlitoa hapo juu khs dem alonitemaga nikiwa ndo nmetoka chuo, japo mdau fln alikoment kwamba nlikua nalazimisha mapenzi ila ukweli ni kwamba yule dem alikua tu na tamaa ya pesa na mm sikua nazo wakati ule.Ina maana mkuu Showmax wanawake sometime huwa wanajutia wanaume waliowahi kuwakataa siku za nyuma?
Sasa jamani mie natafuta mwanamke wakunjzalia wee wala hunipigii pande mwananchi😲😲Walio wengi wanaponzwa na ile hali ya kutaka kuolewa na wanaume wenye maisha mazuri huku wakisahau kwamba inawezekana akaolewa na maisha mazuri yakamkuta huko.
Nina ndugu yangu saa hii anaenda 32 kilichobakia anawaza walau apate tu mwanaume wa kumpa mimba ili hata azae alee mwenyewe sababu hapati wa kumwambia atamwoa.
Wanadanganyana oh mtegeshee upuuzi mtupu.Mara nyingi mapito ni matokeo ya maamuzi, yanayotokana na matumizi ya akili, tunapaswa kuwa very smart linapokuja swala la maamuzi makubwa makubwa, Sasa unakuta mdada umeingia kwenye mahusiano na mtu in few months unabeba mimba, upo serious kweli???
Kuwa kwenye mahusiano sio kosa lakini kubeba mimba bila mipango au Kwa kudanganywa ubebe ni kosa kubwa sanaaa!
Na hapa ndipo wanawake wengi mnakwama sana
Mzabzab huyu huyu. Hahahaaa. Huyu huyu.Sasa jamani mie natafuta mwanamke wakunjzalia wee wala hunipigii pande mwananchi😲😲
Ebu fanya kama unatoa assist ya aziz kii kwa mayele tufunge goli
Nisiseme mengi, nimekaa pale na Jack Daniels yangu nawasubiri mguse 30s muanze kutulilia tuwaoe.
Nna madem fln wanne 30s and above hv wote wako mikoa tofauti, siwezi waita michepuko sababu huwa napozea nikiwa maeneo hayo na kuwalipa japo kwa status zao huwezi jua kama wanauza. Wataalam tunaweza ita wanafanya High profile prostitution.
Sasa toka mwaka huu uanze wawili kati yao (mmoja wa Dar na mwngne wa Moro) wananiletea habari za kutaka niwaoe, wote wanajua mie bachela, wamekomaa kuwahi goli hadi kuna muda nablock sababu washajiozesha kwangu bila hata hiari yangu.
Juzi nlikua Moro, huyo wa moro nmekuta kanichinjia jogoo kabisa na kawaida baada ya kukaa siku kadhaa kawaida huwa namuachia kama 200k hadi 500k sometimes ila this time kaikataa kabisa anakomaa awe mke halali. Moyoni nikacheka tu.
Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.
Acha uchoyo bwana wewe. Sasa huyo mrembo anataka mtoto unipe mie nimzalishe basi au wee hutaki mzabzab awe shemeji yakoMzabzab huyu huyu. Hahahaaa. Huyu huyu.
Hasa kama akikukuta upo juu akilinganisha na aliye naeIna maana mkuu Showmax wanawake sometime huwa wanajutia wanaume waliowahi kuwakataa siku za nyuma?
SAsa gari used na gari jipya yatakuwaje SAwa.Na mimi nawasubiriaga hao mashangazi wakuanzia 30 kwenda juu ndo napita nao..... hawana usimbufu sana kama hawa mabinti wa miaka 22/23
Daah Yule mdada anaishi kishua Sana huwezi kudhani Kama anauza K.Ulokuta nn mkuu
Duuuuh ama kweli tembea uoneDaah Yule mdada anaishi kishua Sana huwezi kudhani Kama anauza K.
SAsa gari used na gari jipya yatakuwaje SAwa.
Umeshawahi ona over 30 anasumbua kuvua.
Kwanza hiyo 200k unaacha ni matumizi mabaya ya pesa,tukutane kwenye kikao mwisho wa mweziNisiseme mengi, nimekaa pale na Jack Daniels yangu nawasubiri mguse 30s muanze kutulilia tuwaoe.
Nna madem fln wanne 30s and above hv wote wako mikoa tofauti, siwezi waita michepuko sababu huwa napozea nikiwa maeneo hayo na kuwalipa japo kwa status zao huwezi jua kama wanauza. Wataalam tunaweza ita wanafanya High profile prostitution.
Sasa toka mwaka huu uanze wawili kati yao (mmoja wa Dar na mwngne wa Moro) wananiletea habari za kutaka niwaoe, wote wanajua mie bachela, wamekomaa kuwahi goli hadi kuna muda nablock sababu washajiozesha kwangu bila hata hiari yangu.
Juzi nlikua Moro, huyo wa moro nmekuta kanichinjia jogoo kabisa na kawaida baada ya kukaa siku kadhaa kawaida huwa namuachia kama 200k hadi 500k sometimes ila this time kaikataa kabisa anakomaa awe mke halali. Moyoni nikacheka tu.
Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.
Wahi kwa mwamposa mbwaaa wewe utaanza kubweka sasasasa😅😅😅🙌Umenisanua mkuu, sikufikiria kabisa hilo
Sijui anaendeleaje kwa sasa...Jogoo uliechinjiwa katoka kwa mganga ni wa dawa.
Uzuri wa masajariHapana chief, mwanamke graph yake ipo opposite, kama hajitunzi in 30s basi anaanza kupoteza kila uzuri alokua nao.
Kama anajitunza basi bei ya kujitunza inakua kubwa sana.
Kuna boss wetu mmoja kampeleka mke wake dubai akakate utumbo, mke yupo kati ya 30 na 35 hivi.
Hujui kwa nini wanawake wengi wanamuonea wivu zari? Kumantain ule uzuri sio cheap, wengi hawawezi na ndo chanzo cha hate
yatakua yashamzidiaSijui anaendeleaje kwa sasa...
Hahahaaayatakua yashamzidia
Uchawi hauendi kwa mentaliJogoo uliechinjiwa katoka kwa mganga ni wa dawa.
Huwa vina kauli fulani hivi eti vinajibu "sijamaliza mambo yangu, nikimaliza ndiyo nitaingia kwenye ndoa". Utadhani vina mipango fulani amazing kumbe uzinzi tu.Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.