Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Ina maana mkuu Showmax wanawake sometime huwa wanajutia wanaume waliowahi kuwakataa siku za nyuma?
Hio kawaida. Kuna story nlitoa hapo juu khs dem alonitemaga nikiwa ndo nmetoka chuo, japo mdau fln alikoment kwamba nlikua nalazimisha mapenzi ila ukweli ni kwamba yule dem alikua tu na tamaa ya pesa na mm sikua nazo wakati ule.

Sasa wengi wanaowaacha wanaume kisa tamaa ndio huja kujutia baadae, sasa hivi anaona status zangu tu na kujishobokesha lkn hata mia siwezi kumpa bure bora nikaitupe
 
Walio wengi wanaponzwa na ile hali ya kutaka kuolewa na wanaume wenye maisha mazuri huku wakisahau kwamba inawezekana akaolewa na maisha mazuri yakamkuta huko.

Nina ndugu yangu saa hii anaenda 32 kilichobakia anawaza walau apate tu mwanaume wa kumpa mimba ili hata azae alee mwenyewe sababu hapati wa kumwambia atamwoa.
Sasa jamani mie natafuta mwanamke wakunjzalia wee wala hunipigii pande mwananchi😲😲
Ebu fanya kama unatoa assist ya aziz kii kwa mayele tufunge goli
 
Mara nyingi mapito ni matokeo ya maamuzi, yanayotokana na matumizi ya akili, tunapaswa kuwa very smart linapokuja swala la maamuzi makubwa makubwa, Sasa unakuta mdada umeingia kwenye mahusiano na mtu in few months unabeba mimba, upo serious kweli???
Kuwa kwenye mahusiano sio kosa lakini kubeba mimba bila mipango au Kwa kudanganywa ubebe ni kosa kubwa sanaaa!

Na hapa ndipo wanawake wengi mnakwama sana
Wanadanganyana oh mtegeshee upuuzi mtupu.
Sijui hawaelewi kuwa kugegedana kavu haimaanishi kuwa kidume anataka mtoto. Nikitaka mtoto sii nitakwambia. Wanakera sana.
 
Nisiseme mengi, nimekaa pale na Jack Daniels yangu nawasubiri mguse 30s muanze kutulilia tuwaoe.

Nna madem fln wanne 30s and above hv wote wako mikoa tofauti, siwezi waita michepuko sababu huwa napozea nikiwa maeneo hayo na kuwalipa japo kwa status zao huwezi jua kama wanauza. Wataalam tunaweza ita wanafanya High profile prostitution.

Sasa toka mwaka huu uanze wawili kati yao (mmoja wa Dar na mwngne wa Moro) wananiletea habari za kutaka niwaoe, wote wanajua mie bachela, wamekomaa kuwahi goli hadi kuna muda nablock sababu washajiozesha kwangu bila hata hiari yangu.

Juzi nlikua Moro, huyo wa moro nmekuta kanichinjia jogoo kabisa na kawaida baada ya kukaa siku kadhaa kawaida huwa namuachia kama 200k hadi 500k sometimes ila this time kaikataa kabisa anakomaa awe mke halali. Moyoni nikacheka tu.

Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.

Na mimi nawasubiriaga hao mashangazi wakuanzia 30 kwenda juu ndo napita nao..... hawana usumbufu sana kama hawa mabinti wa miaka 22/23
 
Mfano mzuri yupo mwamba anajiita captango instagram anamiliki mahoteli zanzibar na kampuni za tours, akiwa down alitoswa na demu aliambiwa na demu hana future kipindi hicho ni masikini hana kitu, hio speech ilimuumiza Sana alikuwa kampenda Sana huyo demu ikampa spirit ya kupambana leo ni tajiri. Wasichokielewa watoto wa kike maisha hayasimama akikuona leo upo down huna kitu wao ukariri ndo ushafeli hivyo dharau kibao.
Kusota ni miaka kutoka ni siku moja tu.
 
Nisiseme mengi, nimekaa pale na Jack Daniels yangu nawasubiri mguse 30s muanze kutulilia tuwaoe.

Nna madem fln wanne 30s and above hv wote wako mikoa tofauti, siwezi waita michepuko sababu huwa napozea nikiwa maeneo hayo na kuwalipa japo kwa status zao huwezi jua kama wanauza. Wataalam tunaweza ita wanafanya High profile prostitution.

Sasa toka mwaka huu uanze wawili kati yao (mmoja wa Dar na mwngne wa Moro) wananiletea habari za kutaka niwaoe, wote wanajua mie bachela, wamekomaa kuwahi goli hadi kuna muda nablock sababu washajiozesha kwangu bila hata hiari yangu.

Juzi nlikua Moro, huyo wa moro nmekuta kanichinjia jogoo kabisa na kawaida baada ya kukaa siku kadhaa kawaida huwa namuachia kama 200k hadi 500k sometimes ila this time kaikataa kabisa anakomaa awe mke halali. Moyoni nikacheka tu.

Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.
Kwanza hiyo 200k unaacha ni matumizi mabaya ya pesa,tukutane kwenye kikao mwisho wa mwezi
 
Hapana chief, mwanamke graph yake ipo opposite, kama hajitunzi in 30s basi anaanza kupoteza kila uzuri alokua nao.

Kama anajitunza basi bei ya kujitunza inakua kubwa sana.

Kuna boss wetu mmoja kampeleka mke wake dubai akakate utumbo, mke yupo kati ya 30 na 35 hivi.

Hujui kwa nini wanawake wengi wanamuonea wivu zari? Kumantain ule uzuri sio cheap, wengi hawawezi na ndo chanzo cha hate
Uzuri wa masajari
Ila kweli anatumia hela nyingi
 
Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.
Huwa vina kauli fulani hivi eti vinajibu "sijamaliza mambo yangu, nikimaliza ndiyo nitaingia kwenye ndoa". Utadhani vina mipango fulani amazing kumbe uzinzi tu.
 
Back
Top Bottom