Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
mpwayungu village๐๐Kwakweli sijui Kwann ila Wana uvumilivu sana Hawa viumbe ila wengi hawajiongez kupambana na maisha nafikir ndio sabbu japo wachache wamechangamka
Lkn imagine mke amkute mumewe anaimba na watoto mabaya wadogo wadogo wanaogelea๐๐๐๐
Ukiwa na hela zitakuliwaza angalau vinginevyo zitabaki tu mbu*pu zinaning'inia๐๐ lazima uchakae
๐๐ waacheni waalimu tafwazwalii๐๐Kwakweli sijui Kwann ila Wana uvumilivu sana Hawa viumbe ila wengi hawajiongez kupambana na maisha nafikir ndio sabbu japo wachache wamechangamka
Lkn imagine mke amkute mumewe anaimba na watoto mabaya wadogo wadogo wanaogelea๐๐๐๐
Aweeee? Aweeetugeza๐๐Kwakweli sijui Kwann ila Wana uvumilivu sana Hawa viumbe ila wengi hawajiongez kupambana na maisha nafikir ndio sabbu japo wachache wamechangamka
Lkn imagine mke amkute mumewe anaimba na watoto mabaya wadogo wadogo wanaogelea๐๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃAweeee? Aweeetugeza
Waaaaa
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ila ndoa zao zinadumu sana wavumilivu mno๐๐๐ waacheni waalimu tafwazwalii
Tukamalizie uzee wetu pamojaKwenda wapi mkuu
Ndivyo maisha yanavyotakiwa yawe, uvumilivu tu nawapa five stars rating ๐๐Ila ndoa zao zinadumu sana wavumilivu mno๐
Shauri zao kuna wakati utafika watamtamani hata ticha wa chekechea wa kuwawowa na hataonekana๐๐ waacheni waalimu tafwazwalii
Kuna Ile nyimbo๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Yule unamwambia๐๐๐๐
Usimuite huyu ataharibu Uzi๐๐๐
๐๐๐Ungemwambia twende nikakushikie chemicals nyie outing zenu ni maeneo ya shule tu๐๐๐Yule unamwambia
We ni mrefu na una body nzuri
Ukivaa hivi au vile utapendeza sana
Anaitikia sawa, nisindikize dukani.
Jiandae wkend twendeโฆ wkend ikifika anakwambia nasahihisha au nasoma hapa j3 nina practicals na fom foo C
Sheeee
๐๐
Mbona na nyie mnagawa dozi kwa walimu kama yeye bwana mpwayngu ๐๐Usimuite huyu ataharibu Uzi๐๐๐
๐ me sitii neno zaidi mkuu Depal mbinguni utapaskia tuShauri zao kuna wakati utafika watamtamani hata ticha wa chekechea wa kuwawowa na hataonekana
Wala tumesema wavumilivu alafu hawana anasa nyingi kwanza ela zao bajet Kali ๐๐wanawake tunashindwaga hapoMbona na nyie mnagawa dozi kwa walimu kama yeye bwana mpwayngu ๐๐
NasemajeeeeYule unamwambia
We ni mrefu na una body nzuri
Ukivaa hivi au vile utapendeza sana
Anaitikia sawa, nisindikize dukani.
Jiandae wkend twendeโฆ wkend ikifika anakwambia nasahihisha au nasoma hapa j3 nina practicals na fom foo C
Sheeee
๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐Ungemwambia twende nikakushikie chemicals nyie outing zenu ni maeneo ya shule tu๐๐๐
Waoaji wapo kule Love konektiShauri zao kuna wakati utafika watamtamani hata ticha wa chekechea wa kuwawowa na hataonekana