Kwa hiyo mnataka wenye mahela sio? Muwachune vizuriπkwanza ela zao bajet Kali ππwanawake tunashindwaga hapo
Wala hatujui tunataka NiniπππKwa hiyo mnataka wenye mahela sio? Muwachune vizuriπ
Mwanaume hazeeki mkuu, anakufa tuSisi tukifikisha 30 ww utakua ushazeeka.
Aah mi sijasema kituπ ila mjini ndo Nimefika mchana huu nashangaa barabara nane mbezi hapaHaahahaha
we jamaa mjini umeingia lini?
Akiwa virgin jeUoe mtu ana 30 yrs duuh. Hapo ana maex kama 6 hivi.
Duu ...Akiwa virgin je
Usibishe kwamba hawapo
Huwa wanazihusudu wakiwa hawana,wakizipata wanahusudu wanachokikosa.Si huwa mnazihusudu sana iweje leo useme sio kila kitu? Kulikoni
Kumbe To Yeye na Depal ni IDs 1 katika majina mawili tofauti? [emoji15][emoji23]Wengine yan basi tu
Kuna huyo mmoja, alikuwa n ticha
Jioni nikipita kazini kwake unakuta ana michaki mpk kwenye nguo.
Kwani kaka ukiwa mwalimu ndio lazima ubaki na uthibitisho wa michaki??
Unamuelekeza mtu haelekei
Cha kufia nn
ππNdo unajidanganya hivo eeeh.Mwanaume hazeeki mkuu, anakufa tu
IDKKumbe To Yeye na Depal ni IDs 1 katika majina mawili tofauti? [emoji15][emoji23]
[emoji2960]Mwalimu ni tall dark
Ana kiforesta chake no D
Lkn ndo vile tena, unavyovitaka awe navyo na unajua kabisa viko ndani ya uwezo wake haviwezi kujipambania [emoji19]
Ila mjue kuna nyakati pesa si kila kitu.
Aisee kumbe sasa nimeelewaHuwa wanazihusudu wakiwa hawana,wakizipata wanahusudu wanachokikosa.
Crdb π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Aisee kumbe sasa nimeelewa
Nshaelewa πππCrdb π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
KwendraaaNshaelewa πππ
Sikwendriii na hata nikikwendraa nimeshaelewa.Kwendraaa