Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Wengine yan basi tu
Kuna huyo mmoja, alikuwa n ticha
Jioni nikipita kazini kwake unakuta ana michaki mpk kwenye nguo.
Kwani kaka ukiwa mwalimu ndio lazima ubaki na uthibitisho wa michaki??
Unamuelekeza mtu haelekei
Cha kufia nn
Kumbe To Yeye na Depal ni IDs 1 katika majina mawili tofauti? [emoji15][emoji23]
 
Mwalimu ni tall dark
Ana kiforesta chake no D
Lkn ndo vile tena, unavyovitaka awe navyo na unajua kabisa viko ndani ya uwezo wake haviwezi kujipambania [emoji19]

Ila mjue kuna nyakati pesa si kila kitu.
[emoji2960]
JamiiForums576021488.jpg
 
Back
Top Bottom