Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nilishawahi kuandikaga humu mara nyingi tuu kuhusu visa vya wanangu ni story ndefu ila mwisho wa siku waliachwa wakapitia msoto nao wote poa sasa hivi.

Tena huyu mmoja alipigwa kibuti mara mbili,Mara ya kwanza chuo mara ya pili kipindi tuna hastle kitaa,huyo aliye achwa mara mbili sasa hivi anasukuma Vanguard na huyu mwengine nilikuwa napiga nae tempo, demu alimwacha baada ya kupata kazi kwenye kampuni moja ya maswala ya audit, mwana sasa hivi anakunja 2.1+m,marupurupu na mazagazaga kibao plus safari nae anasukuma Rumion.

Ila huyu mwenye Rumion naona kama analipiza kisasi ni anatembeza rungu kwa wakina dada wanao mshobokea, huyu mwenye Vanguard kaoa mwaka huu.Ila huyu mwenye Rumion sijui ataoa lini maana,anawatomb* mademu vibaya mno, ukijaribu kumshauri anakwambia "......hawa wapuuzi wameniumiza sana acha tu ni watomb*lee mbali..........".
Kama domo tu sio eeeh
 
Hapana chief, mwanamke graph yake ipo opposite, kama hajitunzi in 30s basi anaanza kupoteza kila uzuri alokua nao.

Kama anajitunza basi bei ya kujitunza inakua kubwa sana.

Kuna boss wetu mmoja kampeleka mke wake dubai akakate utumbo, mke yupo kati ya 30 na 35 hivi.

Hujui kwa nini wanawake wengi wanamuonea wivu zari? Kumantain ule uzuri sio cheap, wengi hawawezi na ndo chanzo cha hate
Kwani zari ni mzuri eehh[emoji44]?
 
Demu tunamjua binti wa mzee Mbonde mfuga ngadu.Ila anataka Iphone 14,yeye bila baga bado anahisi hajala breakfast, hatumii miogo wakati tulikuwa tunapanga nae foleni, wengine siku hizi wanakwambia wanapenda kusafiri sehemu mbalimbali duniani wakati kwao Mzenga Uzaramuni,bundle anakwambia kwa siku anajiunga la elfu 5,anataka wiki la laki tano yaaani upuuzi upuuzi mtupu.

Basi ili mradi nae aonekane wa gharama ila umri ukishaanza kuvuka 25+ nahisi wengi wao wanaanza kuona uhalisia na mda unavyo zidi kwenda ndipo wanakuja kujua yale maigizo yao ni ujinga mtupu,wakifika 30+ ndio utawasikia wanatamtaka yeyote anaye pumua.
 
Demu tunamjua binti wa mzee Mbonde mfuga ngadu.Ila anataka Iphone 14,yeye bila baga bado anahisi hajala breakfast, hatumii miogo wakati tulikuwa tunapanga nae foleni, wengine siku hizi wanakwambia wanapenda kusafiri sehemu mbalimbali duniani wakati kwao Mzenga Uzaramuni,bundle anakwambia kwa siku anajiunga la elfu 5,anataka wiki la laki tano yaaani upuuzi upuuzi mtupu.

Basi ili mradi nae aonekane wa gharama ila umri ukishaanza kuvuka 25+ nahisi wengi wao wanaanza kuona uhalisia na mda unavyo zidi kwenda ndipo wanakuja kujua yale maigizo yao ni ujinga mtupu,wakifika 30+ ndio utawasikia wanatamtaka yeyote anaye pumua.
Mabinti wa siku hizi ni wapumbavu sana wanataka kujiweka katika u-classic lakini njaa tupu
 
Hadi unaona mtu anaitafuta ndoa mwenyewe ujue hapo amejiona yuko tayari kwa ndoa siyo ajilazimishe
Juu kdg ulikua na point ila hapa ukapuyanga.

Sio kwamba wako tyr lkn wanaona value yao ishashuka, na sio kwamba value imeshuka sababu actually wanakua hawana hio value lkn umri ukishaenda ndipo wanauona ukweli.

Ni kama vile muuza bidhaa tu, akiona zinaenda kuexpire atakupa bei ya chini hata kama ni hasara
 
Sawa lakini Mabinti wengi walioko kwenye 20s wanakuwa hawako tayari kwa ndoa hivo msiwalazimishe halafu baadaye mkaja kuwalaumu tena
Mbona bibi zetu walikua wanaolewa wakiwa na 14 yrs? Huko tumeenda mbali, quran yenyewe tu inaruhusu hata wa 15 aolewe, yy nani awe na 20 akatae kuolewa?
 
Sawa lakini Mabinti wengi walioko kwenye 20s wanakuwa hawako tayari kwa ndoa hivo msiwalazimishe halafu baadaye mkaja kuwalaumu tena
Wakiwa kwenye 20s hawataki ndoa ili wadange vizuri wanakuwa kweye peak ya urembo wanautumia urembo kudanga

Ila wakifikisha 30s wanatusumbua sana nina wadada watatu wana kazi zao lakini wote wanataka ndoa
 
Nimekupata mkuu Teslarati , umetoa shule kubwa hapa. Big up! Kwahiyo kwa mwanaume 30s kikawaida bado anakuwa ana mvuto labda akiwa kwenye late 40s ndio utu zima unaanza kujionesha?
Kumbe kuna wanawake wanamchukia Zari kutokana na uzuri wake. Inaonesha mwanamke anaweza kumhate mwenzake kwasababu ya mvuto tu.
Exactly hata mimi ofc yetu kuna wanawake hawajafika hata 45 but wako obese nikiwaonesha wanawake walio around 50 wenye shape zao wakivaa nguo zinazoenda na wakati wana hate sana
 
Okay kwahiyo sasa unaona bora uoe Binti wa 20s ambaye hayuko tayari kwa ndoa, vipi utamvumilia akili zake au ndio kama kawaida, mtaanza kulalamika tena kuwa wanawake wana akili za kitoto

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Kwanza binti akiwa na 20s ni more than ready kwa ndoa, hao wanaokataa ndio tunawasubiri wafike 30s waanze kutusumbua nasi tutakua tunawaenjoy tu.

Pili kwenye ndoa binti kazi yake ni kusikiliza mme wake anasema nini so hata akiwa na akili za kitoto haina shida, kumbuka mwanamke anawekwa kwenye special group pamoja na watoto. Mwanamke ni mtoto mkubwa waswahili wanasema
 
Kwanza binti akiwa na 20s ni more than ready kwa ndoa, hao wanaokataa ndio tunawasubiri wafike 30s waanze kutusumbua nasi tutakua tunawaenjoy tu.

Pili kwenye ndoa binti kazi yake ni kusikiliza mme wake anasema nini so hata akiwa na akili za kitoto haina shida, kumbuka mwanamke anawekwa kwenye special group pamoja na watoto. Mwanamke ni mtoto mkubwa waswahili wanasema
nimekupata sana mkuu Teslarati hakuna ubishi maringo ya mwanawake mwisho ni kwenye around 29 years. Mwanamke akishaingia 30 automatically thamani yake inakuwa ime-depreciate kwenye soko
 
Hivi kwanini ndoa zimekuwa changamoto sana siku hizi? Wanawake mmekuwa na complications nyingi sana nahisi hivyo. Halafu utakuta hao wenye 30+ bado wanajimwambafy hawataki kuolewa bado bado kumbe roho zinawauma na kuwasuta. Ifikie wakati wanawake mbadirike aiseee, akitokea Mwanamume kakuelewa na anataka kukuoa ridhika naye kama maisha mazuri huwa yanatafutwa lakini kutaka mwanamume mwenye good life akufuate aje akuoe hiyo ni ngumu sana na kwa kifupi Wanaume wengi wenye mafanikio huwa wanapitia magumu mengi sana na suala la kuoa kwake linakuwa ni gumu kidogo kwa asilimia kubwa na atakachokuwa anakifanyiwa ni kupiga rungu na kuzalisha tu. Wanawake mbadirike musiwe mnakuwa na ubaguzi unless otherwise mambo yataendelea kuwaendea harijojo tu.
ni wazi mwanamke akifika 30s na bado hajaolewa ata kama anaoenekana nje ni mtu mwenye furaha muda wote lakini ili la kutokuwa na ndoa (mume), inamkosesha furaha ni basi tu hawezi kujionesha wazi wazi lakini lazima atakuwa hata anawaeleza shoga zake msongo wa mawazo anaopitia
 
Mkuu usifananishe enzi ambazo mwanamke hakuwa na elimu wala sauti na sasa hivi ambapo wanawake wana elimu na sauti juu ya maisha yao, lazima mkubali kwamba zama hizi wanawake nao wanakutana na changamoto nyingi ambazo zinafanya wasiwe tayari kwa ndoa katika umri fulani, halafu hujanijibu swali langu vipi ukalazimisha kumuoa huyo mwanamke halafu ukagundua hayuko tayari kuwa mke au mama utalaumu
Ndoa ni tendo la kiroho na mwongozo wale upo kwenye vitabu vyote vya dini, so hata dunia ibadilike vipi,maneno yale ya kwenye vitabu hayatokuja kubadilika ever.
 
kwahiyo mkuu toughlendon_1 unasema mwanamke akishafika umri wa miaka 30 bila ndoa anakosa furaha? huyo wa 23 unahisi nini zaidi kilichomuogopesha hadi akatubu na kutubu? sababu umri wake bado ni mdogo hata 25 hajafikisha.
Me siamini kama ndoa ndio furaha kwa wanawake au binandamu, ila huwa sielewi kwanini kwa wanawake kuwa married ipo kwenye cart yao? Kuwa happy ni ni kuwa happy mzee, ila wanawake wengi wakifika 30+ wanakuwaga na stress kama hawako married unadhani kwanini? Huyu wa 23 ni mpuuz na ni mzuri... Sema ana usengelema mwingi
 
Back
Top Bottom