Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Umri aint nothing in a Mariage purpose..Binadam wote tumeumbwa in Pairs hao wanawake ata wakifika 45 years kama wameandikiwa Ndoa wataolewa tu..its matter of Qadar kama uliandikiwa Ndoa utaipata..!!!
 
Haya maneno mnasemaga tu.

Miaka ya nyuma kiasi ndo nmetoka chuo nikarudi kwetu kusikilizia kazi, pale kulikua na kadem nakakubali kinoma ndo kalikua kanamalizia six kaende chuo. Yule mdada nilikua nampenda balaa na sijawah kupenda vile aisee. Dem alipoenda first year tu akawa mbogo, kidume nipo naangalia tu biashara za mzee malipo ni wali maharage wa jion na ugali dagaa wa mchana.

Nikaja kupata chance ya internship dsm nikawa naenda kukachk pale mlimani ila kananipotezea balaa, second year akapigwa mimba na rafiki wa kakaake nikaja kujua ndo alikua anakapa kiburi. Sasa hv ni counter kwenye bar fln hv hapa mjini ana watoto watatu kila mtoto baba yake.

Mabinti wachache sana wanajua maana ya true love na wachache zaidi wanajua namna ya kuspot true love, japo wanaume wengi bado wako tyr kutoa true love sema wanakua discouraged
Umeeleza jambo linalogusa sana mkuu Teslarati , wanawake wengi huwa hawaangalii mbali, mfano anapata mwanaume mwingine alafu anamu-undermine mwanaume mwingine anayemfuatilia tena sometimes kwa kumuonesha dharau. What goes around comes around. Mbeleni anakuja kubwagwa ndio anamkumbuka yule mwanaume aliyemdharau siku za nyuma na kujuta jinsi alivyomdharau. Nina hakika huyo mwanamke anakutamani sana hivi sasa na kujuta kutokana aliyoyapitia. Alafu ni kweli mkuu huyo dada ana degree alafu ameajiriwa katika counter ya bar? Kama ni kweli basi hakuna hajuae kesho yake, biinadamu tuache majivuno.
 
Ahahaha kuna huyo ana 23 nimemla mla nikamwacha anapenda mabishoo mashombe shombe juz kamfumania bishoo wake kariakoo anakula kisamvu cha mwanaume mwingine karud kutubu anatubu mpaka aanatubu tena alafu me sina habari... Anyways wa miaka 23 anaogopa wa 30 itakuwaje?... Mwanamke wangu wa Morogoro wa early thirties nimempiga chini sababu alidhan cheo na master ndio mborow saivi anashindwa hata cha kusema najua atakuja kutubu... Kauli mbiu yangu, kama kosa sio langu siwez ku apologize kamwe, hata Mungu hapendi... Miaka 30 kwa mwanamke ni maji ya jioni...
kwahiyo mkuu toughlendon_1 unasema mwanamke akishafika umri wa miaka 30 bila ndoa anakosa furaha? huyo wa 23 unahisi nini zaidi kilichomuogopesha hadi akatubu na kutubu? sababu umri wake bado ni mdogo hata 25 hajafikisha.
 
ana degree alafu ameajiriwa katika counter ya bar? Kama ni kweli basi hakuna hajuae kesho yake, biinadamu tuache majivuno.
Hakumaliza hio degree, jamaa baada ya kumpa mimba akiwa second year likamdanganya akaenda kukaa kwake mazima. Nasikia baadae wakazinguana ndo dem akaanza mihangaiko yake peke yake na ndipo alipokosa ramani. Nasikitikaga sana nikimuona
 
Kuna wanaume huwa mnanifurahisha na hizo itikadi zenu za ajabu asee, yani badala ya kupambana ununue kitu kizuri na cha bei kikiwa kipya unasema eti tunavisubiri tu vishuke, sasa hamuoni kama hadi vishuke vitakuwa vimetumika sana tofauti na waliovitumia vikiwa vipya au mnadhani hivyo vikishuka bei ndio mtapata vingine vipya eh
Hujaelewa topic.

Maana yangu ni kwamba hivyo vipya havitaki kutulizwa, vikishachakaa ndo vinataka kutulizwa. Huoni KE ndo wana itikadi za ajabu hapo?
 
Ila wanaume mnateseka sana na mapenz😀 ndoa ni Kila mtu alivopangiwa na alivopanga na sio kilamwanaume akitak kukuoa bas sahihi Kuna ambao unaona kabisa bond haipo Yan ni mafuta na maji Bora uendelee kusubiri tu kuliko kuingia kwenye maisha usiyotarajia
Kipato sio shida ila je ana vision kunawanaume wanaoa wanaishi kwao mk anakula Kwa wazaze wake ni Bora tu anamke, asiwe na Hela sawa lkn bas hata kavision unaona kbisa hapa tunavumilia lkn tutatoboa
Ukiwa na kwa dada zetu bond hujitengeneza yenyewe hataka kama ikikataa,mwanamke atailazimisha tu.Mna wimbo wenu maarufu "ni heli kuumia kwenye V8 kuliko kucheka kwenye baiskeli ".

Hivi visa vya wanaume kupinduliwa sababu walikuwa hawana kitu au walikuwa wanapitia changamoto za uchumi na kubwagwa na wanawake wao ninazo nyingi, tena nyingi za marafiki zangu wa karibu achana na nilizo zisikia.
 
Umri aint nothing in a Mariage purpose..Binadam wote tumeumbwa in Pairs hao wanawake ata wakifika 45 years kama wameandikiwa Ndoa wataolewa tu..its matter of Qadar kama uliandikiwa Ndoa utaipata..!!!
Man/Woman decides his own fate.

Mambo ya kuishi scripted life wanaamini wavivu wa kufikiri.

Endeleeni kusubiri ndoa mlizonadikiwa huku mnakataa zinazowaijia mapema usichanani
 
Ukiwa na kwa dada zetu bond hujitengeneza yenyewe hataka kama ikikataa,mwanamke atailazimisha tu.Mna wimbo wenu maarufu "ni heli kuumia kwenye V8 kuliko kucheka kwenye baiskeli ".

Hivi visa vya wanaume kupinduliwa sababu walikuwa hawana kitu au walikuwa wanapitia changamoto za uchumi na kubwagwa na wanawake wao ninazo nyingi, tena nyingi za marafiki zangu wa karibu achana na nilizo zisikia.
mkuu joseph1989 naomba utuwekee hapa hata mfano mmoja ili watu wajifunze visa vya wanawake
 
Kuna wanaume huwa mnanifurahisha na hizo itikadi zenu za ajabu asee, yani badala ya kupambana ununue kitu kizuri na cha bei kikiwa kipya unasema eti tunavisubiri tu vishuke, sasa hamuoni kama hadi vishuke vitakuwa vimetumika sana tofauti na waliovitumia vikiwa vipya au mnadhani hivyo vikishuka bei ndio mtapata vingine vipya eh
Asante
 
Hakumaliza hio degree, jamaa baada ya kumpa mimba akiwa second year likamdanganya akaenda kukaa kwake mazima. Nasikia baadae wakazinguana ndo dem akaanza mihangaiko yake peke yake na ndipo alipokosa ramani. Nasikitikaga sana nikimuona
mtu kama huyo anatia sana huruma. nahisi kuna wakati anatamani siku zingerudi nyuma alafu awe na wewe kipindi kile ndio umemaliza form six maana anajua haya yote yaliyomtokea hasingeyapata.
 
mkuu joseph1989 naomba utuwekee hapa hata mfano mmoja ili watu wajifunze visa vya wanawake
Nilishawahi kuandikaga humu mara nyingi tuu kuhusu visa vya wanangu ni story ndefu ila mwisho wa siku waliachwa wakapitia msoto nao wote poa sasa hivi.

Tena huyu mmoja alipigwa kibuti mara mbili,Mara ya kwanza chuo mara ya pili kipindi tuna hastle kitaa,huyo aliye achwa mara mbili sasa hivi anasukuma Vanguard na huyu mwengine nilikuwa napiga nae tempo, demu alimwacha baada ya kupata kazi kwenye kampuni moja ya maswala ya audit, mwana sasa hivi anakunja 2.1+m,marupurupu na mazagazaga kibao plus safari nae anasukuma Rumion.

Ila huyu mwenye Rumion naona kama analipiza kisasi ni anatembeza rungu kwa wakina dada wanao mshobokea, huyu mwenye Vanguard kaoa mwaka huu.Ila huyu mwenye Rumion sijui ataoa lini maana,anawatomb* mademu vibaya mno, ukijaribu kumshauri anakwambia "......hawa wapuuzi wameniumiza sana acha tu ni watomb*lee mbali..........".
 
Back
Top Bottom