Hata gari ikiwa zero milage imepaki tu yard hainunuliwi jua, mvua, upepo vumbi vinaikuta hapo ilipopaki then itaoza na uchakavu utalikuta tu.
Wewe acha kujifanya ni Padre Msawazo unakuja kuwafariji tu hapa watoto wa watu. Kama wewe unauchungu sana na u ajifanya ndie mfariji wao unatakiwa ujue huu upuuzi umeandika hapa hautawasaidia lolote sababu vitu vinavyosababisha wao kupotea havina uhusiano na kujitunza.
Wengi tunaowaongelea hapa ni mabinti ambao wameshaingia mageto zaidi ya 20 ya wanaume tofauti, wameshachomekwa madudu kadhaa ya wanaume tofauti, walishajiapiza kuwa hawana haja ya wanaume sababu ya kutazama tamthiria na movie za magharibi zinazowapotosha akili na kuwajaza ujinga.
Wewe hauwafahamu ila unahisi unawaelewa. Huu ni upuuzi unafanya na hausaidii.
Chukua medal [emoji1628] [emoji966] yako hapo chini kwa kuwa mwanaume kilaza.
View attachment 2561343