Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Walio wengi wanaponzwa na ile hali ya kutaka kuolewa na wanaume wenye maisha mazuri huku wakisahau kwamba inawezekana akaolewa na maisha mazuri yakamkuta huko.

Nina ndugu yangu saa hii anaenda 32 kilichobakia anawaza walau apate tu mwanaume wa kumpa mimba ili hata azae alee mwenyewe sababu hapati wa kumwambia atamwoa.
Wanataka wakiolewa wakute maisha yamesimama tayari. Nyumba nzuri, Gari ya mtoko. n.k maisha fulani ya kwenye movie.
 
Mbona unawasubiria huko wameshachoka si upambane nao bado wakiwa wa Moto mkuu. Ni sawa unasubiria mtu afilisike ili upate amani ya moyoni. Yaani by nature our mind loves evils shits and negatives. Inapenda hasara kuliko faida
 
Hata gari ikiwa zero milage imepaki tu yard hainunuliwi jua, mvua, upepo vumbi vinaikuta hapo ilipopaki then itaoza na uchakavu utalikuta tu.

Wewe acha kujifanya ni Padre Msawazo unakuja kuwafariji tu hapa watoto wa watu. Kama wewe unauchungu sana na u ajifanya ndie mfariji wao unatakiwa ujue huu upuuzi umeandika hapa hautawasaidia lolote sababu vitu vinavyosababisha wao kupotea havina uhusiano na kujitunza.

Wengi tunaowaongelea hapa ni mabinti ambao wameshaingia mageto zaidi ya 20 ya wanaume tofauti, wameshachomekwa madudu kadhaa ya wanaume tofauti, walishajiapiza kuwa hawana haja ya wanaume sababu ya kutazama tamthiria na movie za magharibi zinazowapotosha akili na kuwajaza ujinga.

Wewe hauwafahamu ila unahisi unawaelewa. Huu ni upuuzi unafanya na hausaidii.

Chukua medal [emoji1628] [emoji966] yako hapo chini kwa kuwa mwanaume kilaza. View attachment 2561343
So kama ni mzinifu usifikirie kila mtu yupo ivyo
 
Acha kupika pika mambo hapa bwana. Wanaotafuta wanawake ndio wanajua wanakutana na sampuli zipi.

Wewe hao mabikra wa miaka 30 ukutane nao wewe tu khaaa.
Kama wewe wa hovyo Haina shaka utakutana na type yako usiwez na jazba hayo ndo malipo ya hapa hapa duniani.
 
Mtu amepigwa mashine za kila aina halafu anafika 30 anaanza kuweka unrealistic standards. Mwanaume ili nimkubalie awe na hiki na kile awe hivi halafu awe vile, halafu asiwe anafanya hivi na vile. Kwakifupi, wanakuwa so insecure hadi wanajitengenezea expectations ambazo hazipo kiuhalisia.
Ni kweli kabisa na huwa nawaona kibao, yaani huwa wanajifanya wanajiamini kumbe sio huwa wanaigiza tu hizo confindence.
 
Shida nimegundua kuna hawa wadada mafeminists ambao age imeenda wamefika umri sasa wamechakaa so wanagundua competition yao ni hawa mabinti wa umri wa miaka chini ya 25 so wanafanya kila wanaloweza kuwashawishi kuwa wanaume ni watu wabaya kwao ili at least waweze kubalance maumivu.

Maana huwa wanashindwa kuimagine life wao wakiwa hawana tena uwezo wa kuvutia mwanaume halafu mabinti wadogo wanagombewa na wanaume ambao wao ndio walitamani wawe nao.

So kuharibu hii nature wanaanza kushawishi serikali kuwa sheria ziwekwe kuwalinda mabinti dhidi ya wanaume. Sasa wewe imagine unaambiwa binti wa miaka 20 ni mtoto mdogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani hapo wanatamani sheria iseme ni marufuku mwanaume kudate na binti chini ya miaka 28 ili wao sasa wawe na soko wanaume wawe wanatoka nao kihalali. Ila ndio hivyo tena haiwezekani. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kwa hii point nachangia mifuko 20 ya cement lijengwe sanamu lako hapo HQ za Jf.

Kuna kama huyu Shangazi karume ni mpuuzi kuliko watu wote nloshawahi kuwaona, kwanza anatetea ushoga, pili anakuja na hizi sera za kudai below 18 hapaswi kuolewa, agenda yao kuu ni kuharibu natural flow, kazi ya shetani kabisa.

Mm ndio maana nlikubaliana na the rate Magu kwenye swala la kuwazuia walopata mimba kuendelea na shule, sema tu aliiweka vibaya. Angesema kwamba kama binti kapata mimba kwa kurudhia basi aolewe tu sababu ashatoka utotoni huyo
 
Tokea lini mwanamke akapenda? Mwanamke nje ya hisia zake za awali huwa anakuwa na tamaa ya vitu anavyohodhi mwanaume.

Yaani ipo hivi, mwanamke akiona mwanaume ana vitu ambavyo yeye mwanamke anaviona ndivyo vitampa maisha mazuri na ya starehe then hapo huwa anajitiisha na kujiweka kama mahala salama. Halafu ndipo huwa mnasema nimependa. Hapana haujapenda umetamani.

Njia ya asili ni mwanaume yeye anavutiwa na wewe then anaanza kukuteka kwa kuchukua mahitaji yako muhimu na kugeuza kuwa majukumu yake ili wewe upate nafuu ya kuishi na kuanza kutii amri yake kisha baada ya hapo unaingia katika maisha yake na kuanza kupanga nae maisha period.
Safi sana mkuu leta notse hizo 🤗🤗
 
Furaha ni mythical word. Ukitaka kujua neno Furaha limekaa kimtego tazama namna kila mtu anadefine furaha yake kwa namna yake ndipo unajua ni upumbavu wa kiakili kuingia katika Ndoa ukiwa na malengo ya kuitafuta hiyo furaha kisha eventually ukaikosa ukaona ni bora uende nje tena kuitafuta.

Ndoa ni taasisi, wanandoa wanatakiwa kujiwekeza zaidi kwenye kutekeleza majukumu yao sio kuingia kutaka kufanyiwa mambo ambayo yatawapa mrejesho wa furaha ile wanayoitafuta.

Zamani ndoa zilienda bila kujalisha furaha ilikuwapo ama la ndani ya ndoa sababu wanaume walitekeleza majukumu yao bila kukumbushwa sababu walikuwa wanaoa akina mama ambao wamefundwa kutekeleza wajibu wao hata kama nafsi zao zinavinyongo au hasira.

Nitakupa mfano nje ya maswala ya mahusiano ila ukiuelewa utapata maana ninayotaka kukupa.

Kwa mfano leo hii nitafutie mwanamke msomi ambaye ameajiriwa kwenye kampuni kubwa inayomlipa lets say 2 million ambaye atasusa kufanya majukumu ya ofisini kwake sababu tu bosi wake alimjibu vibaya, au alimfokea au alisahau kumsifia kwa kazi nzuri aliyofanya au hakutokea ofisini. Huyu mwanamke hata asemeshwe kwa dharau au kwa jeuri still utaona anafuata maagizo ya maboss wake na kutekeleza wajibu wake wa kazi bila shuruti sababu hayupo tayari kusimamishwa kazi.

Ila rejea huo mfano kwenye ndoa, wanawake hawa wa kisasa ikatokea amekosea ukamfokea, utaona namna atarespond kama sio kujibizana kwa dharau na jeuri ili achapwe makofi basi ataanza mgomo baridi kwa kukuletea viburi ndani ya Ndoa au kuanza kuleta shida kwenye mambo ya kitandani yaani ataanza kukwepa kuwajibika kama mke na ukimwambia asepe hatoona shida siajabu yeye ndie akaondoka bila kufukuzwa.

Hii inakwambia namna hakuna utayari wa wanawake wa kizazi kipya kutumikia ndoa na kuwajibika. Wanaona ni mzigo ila huko maofisini wanakuwa treated vibaya zaidi na maboss zao still wanatii na kutekeleza maagizo. But end of the day boss anamlipa tu mshahara ambao 50% ya huo mshahara huwa unagharamikia expenses za kwenda ofisini kama mavazi, saloon, na urembo mwingine, gharama za usafiri, na michango ya hapo ofisini just in case imetokea haja ya kuchangiana. Na bado mkataba wa kazi ukiexpire huyu mwanamke anarudi home kwa mume wake au kwao with nothing yaani kampuni aliyoipambania hawezi pata mgao wa urithi wala kuwa mojawapo ya wamiliki hata iwaje.

Sasa mwanamke huyu huyu mumewe ajitahidi kumfungulia biashara ambayo atatia mtaji for free, atanunua usafiri ili watumie kumpelekea na kurejesha nyumbani kutoka hapo sehemu ya biashara, chakula ataletewa na house girl, na bado akitia loss mume atajazia mtaji, na biashara ikikua yeye atakuwa ni sehemu ya wamiliki wake na ni rightful mrithi wa mali za mume wake, na biashara ikikuwa yeye atafaidika ila hizo dharau sasa kwa anayemjengea hii empire sasa pumbavu zao hawa viumbe wasio na hekima.

Kimsingi mwanamke hana akili ya kujiongoza ndio maana akiwa anatumia ubongo wake bila msaada ni kama gari linalokimbia kwa speed 220km/hr katika mteremko mkali tegemea muda wowote atapigiza somewhere na damage itakuwa ni fatality kali beyond repair.

Kuna mzee mwenye busara alinambia, Mwanamke mwenye kiburi huwa hafundishiki, anaachwa ajifunze kwa makosa yake mwenyewe. Now nimeamini aisee. Nikuwaacha tu wakosee wajifunze kwa gharama maana wameleta kiburi kufuata maandiko ya MUNGU wacha sasa wapate tamu ya matendo yao. The more tunawalaumu na kuwasema sema the more tunawapa akili ya kuzidi kukengeuka maana wao dhamira yao ni kuishi nje ya mfumo wa maadili ndicho wanachokitaka why sasa tuwalazimishe kuishi ndani ya maadili ambayo wao wenyewe hawayaamini.

So let us let them learn in Nature's language.
Mkuu umesema yote aisee mjadala ufungwe tuanze upya
 
Unajuaje kama mwanamke katumika sana kama haujamla? Alafu kitu kingine ili kujua kama mtu analiwa sana mpaka upate habari zake? Sababu umeongelea swala la habari kusambaa mtaani kuwa kaliwa na watu wengi, lets say mtu kaliwa sana mtwara kuanzia akiwa na early 20's alafu anafikisha 30's anahama anakuja dar anatulia kama sio yeye vile unampata unamwoa thinking kajitunza kumbe umebeba mzoga, now i understand kwanini watu hawadumu kwenye mahusiano na ndoa, hawana taarifa sahihi za wenzi wao....Anyways swali langu la msingi mtu ana 30+ unajuaje kajitunza au hajajitunza kama hata kumtafuna hujawahi?
Ukikubali kumuoa mwanamke lazima ukubalu kusahau yote ya nyuma
 
Sikatai.

Konyagi na Whiskey zote ni pombe kali, lkn angalia wanywaji wake ndo utaona utofauti
Hata whisky zina grade. Zipo za $10 kwa 0.75 liter na zipo za $40 au zaidi kwa 0.75 liter. The best original whiskey in Scotch Whiskey na hata hizo zina bei tofauti na wanywaji nao wanatofatiana, chukulia regula John Walker, John Walker red label, John Walker black label, na John Walker green label.
 
Nimekupata mkuu Teslarati , umetoa shule kubwa hapa. Big up! Kwahiyo kwa mwanaume 30s kikawaida bado anakuwa ana mvuto labda akiwa kwenye late 40s ndio utu zima unaanza kujionesha?
Kumbe kuna wanawake wanamchukia Zari kutokana na uzuri wake. Inaonesha mwanamke anaweza kumhate mwenzake kwasababu ya mvuto tu.
hiyo inaitwa wivu.
 
nimepukapata vizuri mkuu Half american , ina maana wapo wanawake ambao hawana kabisa matamanio ya kuishi maisha ya ndoa? basi inaonesha mwanamke akifika umri fulani kama bado hajaolewa, chance ya yeye kuolewa inakuwa imepungua pungua.
Ni kweli uwezekano wa mwanamke kuolewa unapungua jinsi umri unavyoongezeka. Ila kuna wengine wanapataga bahati hata kama wana watoto wadogo na wakubwa. Mara nyingi hawa huolewa na wanaume walioachika/walioacha, wenye watoto wakubwa, na wanachotafuta ni mwananme wa kuishi naye awe akimpikia na kumpa mbususu. Unajuwa mtu ukifika 55+ hutamani tena ndoa na wasichana. Kwa unatafuta mchovu mwenzako aliye kwenye forties wa kukupozea nyege. Some of these make good wives maana wanapata kinga ya kuchumi na watoto wao pia wanasaidiwa hasa kama mababa za watoto ni deadbeat fathers.
 
Hata whisky zina grade. Zipo za $10 kwa 0.75 liter na zipo za $40 au zaidi kwa 0.75 liter. The best original whiskey in Scotch Whiskey na hata hizo zina bei tofauti na wanywaji nao wanatofatiana, chukulia regula John Walker, John Walker red label, John Walker black label, na John Walker green label.
Ndo maana namwambia huyo jamaa hata K za thaman ya Nissan Dualis zipo ukiachilia mbali nyumba na viwanja
 
Back
Top Bottom