Nyie watu wa dar sasa hapa cha ajabu ni kitu gan? Au ni ushamba wenu tu

Hahaha. Umefurahii kusikia tusi la bibi yako eeh?

Bibi wa Kisukuma akikwambia hivyo ujue hapo umeharibu mambo kabisa.


nilikua nacheka sana sana jaman !wasukuma wana asili ya kutukanaga tu sijui y!
 
Karibu tena Dar
 
Lakn kwenye lile burungu2 la mapesa m3, nadhan utakua hujamalza hata lak 5...bas 2pia kapcha ukiwa umelshklia kama ushahd 2 boss.
Sasa mkuu nikifanya hivyo hawa watu wa dar si watangaza kwenye ile tv yao ya itv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…