Nyie watu wa dar sasa hapa cha ajabu ni kitu gan? Au ni ushamba wenu tu

Nyie watu wa dar sasa hapa cha ajabu ni kitu gan? Au ni ushamba wenu tu

1.Mwenye akili awezi kutembea na m3 mkononi kwa ulimwengu wa sasa watu wanatembea na bank card au pesa kwenye simu,m3 inaweza kuwa kitu kidogo kwako ila linapokuja swala la usalama ndo utajua ni ndogo au kubwa endelea kutafuta sifa ivyo ivyo.
2.watu walikuwa awashangai pesa uliyo beba watu walikuwa wanashangaa akili yako ilivyo mbovu kujiatarishia maisha kwa kujifanya unaonyesha hela ulivyo mjinga ukaona wanashangaa hela zako kua kiakili
3.PUNGUZA UONGO!!!!!!
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu


Ebhana leo katika pita pita asubuh hii si nikaona niingie dukan kununa vocha, nikanunua vocha za kama elf hamsin ili nijiunge kifurush cha mwezi si nikazama mfukon nikatoa bulungutu la kama milion tatu hiv acha watu wa dar wanakidoloe na kunitolea mimacho mimacho yao had nikajiuliza hawa watu vp mbona wanashangaa sana kulikon. Kwahiyo nyie watu wa dar kibulungutu cha milion tatu ni hela nyingi sana au njaa tu zinawasumbua


Sikuishia hapo baada ya kutoka hapo nikaingia hotelin kupiga chai kidogo ili nikamilishe mambo yangu kesho nipate kugeuka mwanza. Nikafika hotelin nikaagiza chapati zangu nane acha watu wanikodolee macho tena nikaagiza na chai ya maziwa vikombe vitatu acha washangae tena


Hiv nyie watu wa dar mnavyoshindia biskut ndo mnazan kila mtu anaweza kushindia kashata na kahawa?

Badiliken bhana achen ushamba wenu wa kushangaa watu

Sasa milion tatu mnashangaa kitu gan kuagiza vi chapat ambavyo havifiki hata kumi mnashangaa kitu nini, kunywa chai ya maziwa vikombe vitatu ndo mtoe mimacho kias hicho


Badiliken bhana


NANYUPU


LONDON BABY

Choka mbaya waliotukuka utawajua tu.
 
We jamaa ni limbukeni haijawahi tokea Africa mashariki na kati. Sasa fix hizi za enzi za 90's huko unaleta kizazi cha leo hiki
 
Neno "wapendwa ktk bwana" umelitumia mahali sio pake Jitahidi ubadili salamu yako..Humu jukwaani kuna hadi atheist,,tumia salamu ya generally na usimuinclude Bwana kwenye any sort of nonsense...By the way watu mnaozunguka ziwa Victoria punguzeni kula mapanki,,jitahidini kula na minofu inaongeza afya ya ubongo....makinikia mnayagombea na mapanki ni yenu mmekuwaje second people??? Yaani hata mtu akiamua kuwakanyagia wake zenu na akawaambia mbaki na mabeki tatu wenu mtaona sawa tu.
 
Bulungutu la milioni tatu? ilikuwa ni elfu elfu nini?
Custom-tanzanianshilling-front.jpg
 
Eti nasikia yale "majani" yanapishana ukali: wanadai ile inayolimwa Arusha ni kali zaidi ya ile ya Njombe na Tarime.
 
Duh. Bado watu wanatembea na mabulungutu ya fedha wakati wengine tunatembea na mabulungutu ya kadi.

Lekagi buchilochilo babehi.


ahahahha tusi la bibi yangu hilo aisee !ahahah olenchionchilo
 
Back
Top Bottom