Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
Iko wapi hii mkuu?Shivaz nyuma ya golden rose
Sawa mkuu
Safi sana, mara moja moja mkipata chance mnatokaNyumbani, tumepoa na familia
Ya nini mkuu?HATARI SANA
Nipo mtaa wa home pia natupia mojambilitatuLeo nimeona mambo yasiwe mengi nimeamua kutoka bar ya jirani na kwangu hapa weekend hii, nyie wenzangu mnaenjoy wapi mimi naenjoy mbezi๐๐๐
Hawaweze kuja hapa mkuuKuwa makini sasa maex wako wasikukute hapo iwe noma ๐ค
Unamhitaji majibu ya namna gani kwa mfano?Leo nimeona mambo yasiwe mengi nimeamua kutoka bar ya jirani na kwangu hapa weekend hii, nyie wenzangu mnaenjoy wapi mimi naenjoy mbezi๐๐๐
Sogea pale picnic ๐Shivaz nyuma ya golden rose
Nipo mtaa wa home pia natupia mojambilitatu
[/QUOTESafi mkuu, tuendelee kuongeza pato la taifaNipo mtaa wa home pia natupia mojambilitatu
Nilitegemea kuona hii comment๐Kuwa makini sasa maex wako wasikukute hapo iwe noma ๐ค
Hapo ni sehemu mpya eehAliye Kimara ajongee Dagaa dagaa hapa