Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mkeo haendani na Waefeso 5:22-33 basi huyo sio wa kufanana na weweMi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?
huyo nafikiri umpandishe cheo tu maana hakuna namna hapo:Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?
Duh...kuna ambao maneno ya kuomba msamaha hayatoki mdomoni, lakini utaona kwa vitendo vyake kuwa she's sorryMi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?
Mwanamke wa kuomba msamaha hajazaliwa bado, labda umshindanishe na mke mwenza atajitutumua ili kugombea nafasi tu, ila itakuwa maigizo tu na sio uhalisia. Mwanamke anataka kuwa mshindi kwa kila mechi.Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?
Wagumu sana hawa viumbe kuomba msamaha. Neno nisamehe kwao ni humu mnoooMi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?
Ni kabila ganiMi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?
uncouth kabisaa.huyo nafikiri umpandishe cheo tu maana hakuna namna hapo:
arrogant wife
ungrateful wife
rebellious wife
intolerable wife
protagonist wife
antagonist wife
FYEKELEA MBALIIIII
Ni mjeuri
Kaolewa na wewe afanyaje tu
Lakini haukuwa chaguo lake
Mtu akikupenda hawezi kukosea akikusoea lazima akutake radhi
Yaan kwa ufupi wewe hukuwa hadhi yake ndo hvyo kipindi unapeleka barua ya uchumslba ulimkuta yupo kwenye msoto mkali wa kimaisha
Asikwambie mtu mwanamke maisha yakimchapa kipesa na mapenzi fala yoyote akijitokeza anataka kumuoa atamkubalia
Kimbembe utakikuta ndani
Kama hawezi kukuomba samahani direct ujue umeoa mke wa watu.Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?