muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Ukimkojoza vyema, ndiyo hapo anapoomba msamaha.Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"
Kwanini?