Nyie wenzangu wake zenu wanaomba msamaha?

Nyie wenzangu wake zenu wanaomba msamaha?

Wanawake waomba msamaha wapo bado.

Hapa kwenye kuombwa msamaha na kukiri makosa ndipo ulipo wa wanaume Wengi. Yaani mwanamke wangu hata awe amenikosea kosa kubwa namna gani nikisikia tu kakiri kosa na kuamba samahani dah najikuta nampenda mara 100 zaidi.

Kuna kibinti cha kichaga tuna-ukaribu wa kama wiki mbili ivii tuu, juzi ktk stori stori tulitofautiana kidogo, mimi nikaona miyeyusho nikasepa, ajabu kumbe akawaza kuwa nimeondoka kwa shari na hasira. Aisee kalinitumia texts za samahani ilihali mimi sioni hata kosa kabisa. Mimi nikajibu tu "OK" nikijua ni hali ya kawaida tu walaa hajanikosea kitu. Ajabu leo nikampigia simu kwa ajili ya stori stori zingine tu, si kakakumbushia kuhusu tukio la nyuma kuwa eti msamaha wa meseji hautoshi anataka kuomba msamaha wa mdomo, msamaha wa sauti.
Hapo unataka kupigwa hela mzee..hakuna mwanamke wa kichaga boya kiasi hicho.
 
Ni mjeuri
Kaolewa na wewe afanyaje tu
Lakini haukuwa chaguo lake
Mtu akikupenda hawezi kukosea akikusoea lazima akutake radhi

Yaan kwa ufupi wewe hukuwa hadhi yake ndo hvyo kipindi unapeleka barua ya uchumslba ulimkuta yupo kwenye msoto mkali wa kimaisha

Asikwambie mtu mwanamke maisha yakimchapa kipesa na mapenzi fala yoyote akijitokeza anataka kumuoa atamkubalia
Kimbembe utakikuta ndani
Umeongea ukweli mchungu
 
Wanawake waomba msamaha wapo bado.

Hapa kwenye kuombwa msamaha na kukiri makosa ndipo ulipo wa wanaume Wengi. Yaani mwanamke wangu hata awe amenikosea kosa kubwa namna gani nikisikia tu kakiri kosa na kuamba samahani dah najikuta nampenda mara 100 zaidi.

Kuna kibinti cha kichaga tuna-ukaribu wa kama wiki mbili ivii tuu, juzi ktk stori stori tulitofautiana kidogo, mimi nikaona miyeyusho nikasepa, ajabu kumbe akawaza kuwa nimeondoka kwa shari na hasira. Aisee kalinitumia texts za samahani ilihali mimi sioni hata kosa kabisa. Mimi nikajibu tu "OK" nikijua ni hali ya kawaida tu walaa hajanikosea kitu. Ajabu leo nikampigia simu kwa ajili ya stori stori zingine tu, si kakakumbushia kuhusu tukio la nyuma kuwa eti msamaha wa meseji hautoshi anataka kuomba msamaha wa mdomo, msamaha wa sauti.
Binti anakufaa mkuu muoe
 
Kuomba msamaha hutegemea na makuzi, na lipo hata kwetu sisi wanaume, mimi kwa kweli sikumbuki lini niliwahi kuomba radhi kwenye ndoa yangu, hivyo kausha maisha yaende.
Kweli mkuu kuna wengine ni chap anaomba msamaha.

Ila huyo wake ni hamuheshimu mwamba au labda jamaa ni mtu wa lawama sana, ana kisirani so ni ngumu kuargue na watu wa namna hiyo.
 
We nae una gubu sana chief..sasa hapo ulitaka uombwe msamaha kwa mtu kugalagala chini au mpaka ulambwe miguu?
Me wangu huwa tu ananiambia "Am sorry halitajirudia tena" maisha yanaendelea.
Yaelekea we bado una mambo ya karne ya 10 huko.
Itakuwa jamaa anapenda sana kunyeyekewa.
 
Mimi naweza kuomba msamaha hata makosa yasiyo yangu ilimradi tu maugomvi yaishe. Sipendi zengwe ndani kwangu jamani.

Sometimes hata nimekosewa naona tu nisiseme maana mtu amekukosea na anaweza akapanick, akakataa kosa, akakumbushia yako ya zamani, akarudisha yale makosa yawe yako. Nikikumbuka hivyo nakunywa maji yangu nalala.
Kama mke wangu tu
 
Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"

Kwanini?
Wana tabia ya kuzunguka sana kabla ya kusema samahani
 
Wana tabia ya kuzunguka sana kabla ya kusema samahani
Mkuu kuna point kubwa sana "MI mwnyw nilishangaa Huyu makotoporo" wangu ni mgumu kuomba msamaha nikadhani ni Huyu tu kumbe wapo wengi!
 
Kweli mkuu kuna wengine ni chap anaomba msamaha.

Ila huyo wake ni hamuheshimu mwamba au labda jamaa ni mtu wa lawama sana, ana kisirani so ni ngumu kuargue na watu wa namna hiyo.

Ukiwa wa lawama sana huwa vigumu kwa watu kukuomba msamaha, kwanza kuna aina ya watu ukimkosea kidogo anafyatuka balaa, hadi inakubidi uwe defensive muda wote.
 
Ukiwa wa lawama sana huwa vigumu kwa watu kukuomba msamaha, kwanza kuna aina ya watu ukimkosea kidogo anafyatuka balaa, hadi inakubidi uwe defensive muda wote.
Wanaume wengi wasiojiamini wako hivyo
 
Ni mjeuri
Kaolewa na wewe afanyaje tu
Lakini haukuwa chaguo lake
Mtu akikupenda hawezi kukosea akikusoea lazima akutake radhi

Yaan kwa ufupi wewe hukuwa hadhi yake ndo hvyo kipindi unapeleka barua ya uchumslba ulimkuta yupo kwenye msoto mkali wa kimaisha

Asikwambie mtu mwanamke maisha yakimchapa kipesa na mapenzi fala yoyote akijitokeza anataka kumuoa atamkubalia
Kimbembe utakikuta ndani
Nakuelewa, umenena vyema. Mwanamke yeyote uliyempata kwa njia ya fedha, ukawa unampa favours, ukiingia nae ndani ya ndoa hakuna rangi utaacha kuona.
 
Back
Top Bottom