Nyie wenzangu wake zenu wanaomba msamaha?

Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"

Kwanini?
Ukimkojoza vyema, ndiyo hapo anapoomba msamaha.
 
Makosa yako ni makubwa kuliko yake
 
Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"

Kwanini?
Umeforce haupendwi, na huyo mwanamke anaweza kuishi bila wewe na bila shaka ni mama kiboga cha wote
 
Basi humu watu watajigeuza ma judge akati ndani kwao wamegeuzwa visukure
 
Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"

Kwanini?

Kabisa, dawa ni moja, akikosea ukathibitisha pasi na Shaka humwonei na akakana kukubali kosa, go silence, kaa kimya, timiza majukumu yako!

Tatizo mnapenda ngono sana hamuwezi Kuwakazia hawa wanawake mda mrefu!
 
Kama mkeo haendani na Waefeso 5:22-33 basi huyo sio wa kufanana na wewe
Waefeso 5:22-23
22 Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.

23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
 
Ndiyo ukweli
 
Huyo bila shaka atakuwa either mchaga au Mkurya
Haya makabila msamiati wa samahani haupo ndio makuzi yao
Kama ni mchaga atafanya jambo kukuomba radhi mfano anatoa nguo zako anakufulia muda huo huo hata kama hujamuambia.
kwa Mkurya anafanya makusudi umdunde hapo ndio yeye anapata kipimo mume wangu ananipenda
Mila za watu hizi.
Usikilize wanaokuambia eti unagongewa nje sio kweli
 
Binafsi naomba msamaha...
Nisamehe kipenzi changu...
Love you more baba akeeee
 
"basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe"
Hii ni dalili tosha ya kiburi,

Na hapa tatizo sio yeye, tatizo ni wewe, umemjenga kuwa hivyo alivyo, kamwe mkeo hapaswi kuwa na kiburi au dharau kwako.

Chukua hatua.
 
Kuna walio wepesi kusema samahani ila hawamaanishi anakwambia ili kukupa ushindi na kukufanya ujione mfalme tu
 
Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"

Kwanini?
Ndoa ni upuuzi sana aloo
 
Mi akijitahidi sana anasema "basi sawa yameisha" Au "tufanye yaishe" Na likiwa more obvious anajifanya kulia, lakini hawez sema " Nimekosa mume wangu sitarudia"

Kwanini?
Tuambie makosa yake tuyapime kama yanasitaili kukuomba msamaha uo ambao wewe unauitaji, vinginevyo itakuwa mfumo dume unakusumbua mkuu.
 
Hongera mpenz
 
We nae una gubu sana chief..sasa hapo ulitaka uombwe msamaha kwa mtu kugalagala chini au mpaka ulambwe miguu?
Me wangu huwa tu ananiambia "Am sorry halitajirudia tena" maisha yanaendelea.
Yaelekea we bado una mambo ya karne ya 10 huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…