Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #21
Gonga ngoma hiyo kaka.View attachment 3227958
βπ½ππ½
Hatabua Oludumare?π πNyimbo yoyote ya dini inaniliwaza
Oyaaaaaaaaa! Mzeee umenichekesha sana πChama chetu cha Mapinduzi chajenga uuchjiii
π π πOyaaaaaaaaa! Mzeee umenichekesha sana π
Ngoja nisikilize, maisha haya hutakiwi kujipa stressUko wapi kwenye mvua......Group areas act gonna go away, Apatheid is gonna Away
Hakika.....Muziki ndio burudani unayopata bure at no costNgoja nisikilize, maisha haya hutakiwi kujipa stress
Tena?Ukiwa na huzuni sana usisikilize nyimbo za kuhizunisha zaidi...
unaweza KUJIUA
Hii pia iko kwenye Playlist yangu.Born to Suffer - Lucky Dube
View: https://youtu.be/nGjRH69h9mE?feature=shared
Three Little Birds - Bob Marley
View: https://youtu.be/HNBCVM4KbUM?feature=shared
Umekaa material thing sana. Watu ni mabilionea na wanakufa na stress na madawa ya kulevya.Nisikufiche my Friend pesa ndo zinaniliwaza πvinginevyo ni ubatili mtupu π π π
Zungumzia mtazamo wako π mimi sio masikini bro.Umekaa material thing sana. Watu ni mabilionea na wanakufa na stress na madawa ya kulevya.
Josee kamilioni
Mangwear
Masogange
Ray C
Justin Bieber
Ukiona wewe unadhani pesa ni suluhisho la matatizo yako basi wewe ni maskini sana. Pambana mno bado kazi kubwa iko mbele yako.π π
Ongezea hii 'MOYO'-AIC.Kuna mstari unasema hivi:Moyo Wangu - patrick kubuya