Nyimbo gani zinakuliwaza ukiwa na wakati mgumu?

Nyimbo gani zinakuliwaza ukiwa na wakati mgumu?

Ukiwa na huzuni, umetendwa au maisha tu yamekuvuruga, unasikilizaga nini kujiliwaza.

Top 5 zangu
Million years ago - Adele
Sikati Tamaa - Darasa
Moyo Wangu - patrick kubuya
Voilà - Barbara Pravi
Dear Mama - 2pac



View: https://youtu.be/Db9ciJPIaEU?feature=shared


View: https://youtu.be/7sSkYSnMLVc?feature=shared


View: https://youtu.be/HqGkbzg38Bk?feature=shared


View: https://youtu.be/VJuD7AnV-uw?feature=shared


View: https://youtu.be/Mb1ZvUDvLDY?feature=shared

Aisee hakuna wimbo ambao unaliwaza kama ule wa msanii flani hivi wa kibongo unaitwa komasava
 
Ephraim Sekeleti--- Uniongoze.
Upendo Nkone --- Mungu Baba.
Kathy Praise--- Usikiaye Maombi.
E'Mbonyi -- Nina sir......
 
Ephraim Sekeleti--- Uniongoze.
Upendo Nkone --- Mungu Baba.
Kathy Praise--- Usikiaye Maombi.
E'Mbonyi -- Nina sir......
Niongoze na huruma zako, usiponibariki siwezi kwenda .......
Moja ya wimbo unaonibariki sana.
 
Back
Top Bottom