ngaboru
JF-Expert Member
- Mar 3, 2016
- 2,069
- 5,411
Tatizo letu ufaamu wetu uko katika kupinga tuu.Mkuu watu wanakariri upuuzi tu lakini kiukweli Kuna nyimbo nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo letu ufaamu wetu uko katika kupinga tuu.Mkuu watu wanakariri upuuzi tu lakini kiukweli Kuna nyimbo nyingi sana
Mchape nayoWale watoto wa Songwe waliokuwa wancheza na kuimba wimbo wa Matusi wa ZUCHU wanaelewa, ?
mtoto wa kike anaimba " ipake mate, muinamishe, ipenyeze, mchape nayo" wanaelewa kuwa ni uume ndio unatakiwa upakwe mate upenyezwe kwenye uke?
Be serious tuokoe vizazi vyetu #
😅😅😅Kwanza wasikilizaji wa nyimbo za matusi sidhani kama wana nauli za kupanda ndege, sidhani>
Mostly ni watu na ustaarabu wao, mi nyimbo ya ipake mate ipenye, sijui nini
Siku unakwenda Honey moon na mume/mke pale airport umesindikizwa na wakwe zako na wazazi wako ndoio unakuta huo wimbo MCHAPE NAO umewekwa alafu unajirudia rudia.Mchape nayo
Zina amsha hisia za ngono? kama hazina haziwezi kupigwa, watu mwaskini kichwani kumejaa ngono na wanapenda nyimbo za kuwafariji mambo ya ngono, mark my words.Kwanini wasiweke hata nyimbo za Vitalis Maembe? Mbona ana nyimbo nzuri tu za asili?
Ni sawa binti yako akae kusikiliziza, "ishike, ipake mate, ichomeke taratibu, ikatikie"? hayo ndio maslahi ya Whozu, Diamond, Mbosso na wapuuzi wengine wanaotumia madawa na waliojichoka?Huo ni mtazamo wako,Kila mtu ana uhuru wa kujieleza kutegemeana na uwezo wake wa kung'amua mambo kwaiyo wewe umejitahid kuelezea kile ulichoelewa lkn kumbuka Iko kikao cha waziri kililenga maslah mapana ya wasanii wa Tz,
Airport , maana nyimbo za ngono kila sehemu mshawekewa sasa zinawafuata wastarabu hadi airport.Umesema Air port au kanisani?
Daah. Mkuu. Kwenye huu uzi umetema sana povu. Upewe maua yako...Airport , maana nyimbo za ngono kila sehemu mshawekewa sasa zinawafuata wastarabu hadi airport.
Kuna siku nilishtuka sana nikiwa ndani ya mall kubwa ndani ya nchi 1 ya ulaya nikasikia i'm single ya harmonizeTatizo mmekariri nyimbo n hizo za waruka majoka.
Tz kuna nyimbo tamm sanaa ukiacha izo chache ambazo zina makelele.
Mfano;marashi ya pemba by ndala kasheba,rangi ya chungwa,amigo,afrooo,taarabu za kina njenje ni uamuzi mzuri nyimbo zipo za kutosha ambazo azichoshi masikioni.
Kumbuka hapo lengo n kupromote nyimbo(msanii) na nchi kwa ujumla.
Mgeni anafika anakutana na chambua kama karanga by saida kalori yuko Africa na kama n mara yake ya kwanza atabakiwa na kumbukumbuku ya kusimulia akirudi kwao.
Kwani akuna nyimbo nyingine zaidi ya hizo unazozijua wewe za matusi Sikinde,Msondi,Twanga nk? Wewe utaki zipigwe nyimbo za wasanii wa Tanzania unataka zipigwe nyimbo za wasanii wa Nchi gani?Ni sawa binti yako akae kusikiliziza, "ishike, ipake mate, ichomeke taratibu, ikatikie"? hayo ndio maslahi ya Whozu, Diamond, Mbosso na wapuuzi wengine wanaotumia madawa na waliojichoka?
Wewe upo tayari binti yako wa miaka mitatu , mmekaa mnasubiri ndege , atoke mbele "a-anze kupandisha nguo, ajibinue matako aimbe chura anaruka ruka -chra huyooo, anaruka ruka" kwa mslahi ya wavuta unga wa bongo fleva?
#Acha upuuzi
Kakojoe urudi kulala hapo chumba cha wageni kwa shemeji yako!Kwani akuna nyimbo nyingine zaidi ya hizo unazozijua wewe za matusi Sikinde,Msondi,Twanga nk? Wewe utaki zipigwe nyimbo za wasanii wa Tanzania unataka zipigwe nyimbo za wasanii wa Nchi gani?
NAKAZIA.Nyimbo za bongo fleva, kwa asilimia 96% ni matusi, chache ni matusi ya mafumbo lakini mafumbo ya wazi na za mapenzi, zile zenye maadili za kina Afande Sele, na wengine hazipendwi, za matusi zinaimbika na pia zina amsha hisia hivyo hupendwa , ndicho kitu naibu waziri ameona Watanzania wanakitaka kwa sasa badala ya viwanja vua michezo kwa kila shule, apambanie tupate timu za vijana kila Mtaa n a Kata, tupate maeneno ya wazi ambayo CCM imeyateka na kuweka makontena ya kulaza magri na baa za kuuza konyagi za kupima!
Nyimbo za Wanamuziki wa Kitanzania zinatarajiwa kuanza kupigwa kwa asilimia 100 kwenye viwanja vya ndege hapa nchini ili kuendelea kuutangaza muziki wa kitanzania.
Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya kikao cha Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA ambaye amekutana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es salaam.
Katika kikao kazi hicho, Naibu Waziri Mwinjuma ametoa rai kupitia kwa Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Musa Mbura kufanya hivyo ili kutangaza muziki wa kitanzania kwa wageni wanaoingia na kutoka nchini.Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa, Dkt. Emmanuel Ishengoma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa, (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu, Dkt. Kiago Kilonzo na Kaimu Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Baraka Katemba.
WADAU wanajiuliza, nyimbo hizi za matusi za Diamond, Zuchu , Harmoniser ndio zitapigwa au itakuwa kwaya na kaswida?
Video za wanawake wa kislamu wakiwa uchi kama steji shoo ndio mnataka kutuwekea Pale DIa, KIA na kwengineko tukiwa tunasubiri check-in tuangalie na wanetu tukiwa tunasubiri ndege za kwenda likizo?
Mauno na mabusu ya kina Diamond na video zao wakila shisha zilizochanganywa na madawa ya kulevya ndio mtuonyeshee watoto wetu?
Huo muziki wewe Mwana FA tukiweka wanao waangalie kwa masaa 2 mfulilizo utakubali?
MWANA FA umetuchoka, kuongoza si shurti, achia wizara uwe back bencher!