mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wao wanajuwa kila mtu anapennda Mikelele, miziki yenyewe mikelele tuKwanza watu wengine hawapendi mikelele ya mziki, kwa hiyo mwenyewe kaona kafanya kazi kweli.
Sasa we airport upige mzik wa zuchu honey honey......
Airport zinapigwa jazz au country tena sauti kwa mbali sanaaaa
Ova