Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha ladha za masanza kona hizoMdelemaaa mdelema iki waniwela mdelema
kadete aka wiza mdelema giti ulu kasumba kane mdelema...!!
Bhagh'wise sulagi machimu ngongo kwashilile sulagi....!
Kama sio msukuma wa Nassa sio rahisi kuelewa nyimbo hizi...
Mimi kwetu Massanza Kona Na nimesoma Kiloleli Primary School mbona nazijua?Mdelemaaa mdelema iki waniwela mdelema
kadete aka wiza mdelema giti ulu kasumba kane mdelema...!!
Bhagh'wise sulagi machimu ngongo kwashilile sulagi....!
Kama sio msukuma wa Nassa sio rahisi kuelewa nyimbo hizi...
kioo kiooo alikivunja nani...
simjui simjui wamwisho akamatwe....
bonus track
Kinyuliii nyulika, mwanangu mwana wa jumbe
kavaa nguo mbili ya tatu kajitanda, aliye juu aondoke...
hizo mbili mkuu zinakamilishwa na matukio kadhaa ya vitendo.
ila ukitaka wa kizungu.
by shoo i love you bebiiii, the bebi to the shoooo.... etc
huu sikuunasa vizuri maana mtaani kwetu english tulikuwa hatuijui sio watoto tu bali hadi wazazi,dada na kaka zetu hata waalimu wenyewe walikuwa hawaijui.
Hi good morning morning morning, hi good Father's Day Father's Day.Ukuuuti Ukuuuti wa mnazi wa mnazi ukija upepooo, wapepeaa
Namtafuta mke wangu namtafuta mke wangu. ...hapa yupo hapa yupo
mule mule mkuu hizo the the hizo, zilikuwa kikwazo kikubwa... hahahahaHuo wa baishoo huku kwetu uswazi tulikuwa tunaimba hivi
Bai shoo I love you baby the baby tuthesa thesa tu Ze yona the yona tothem them to the yona
Therewaa tu three fo Kata kona
Kaka uo wimbo ulikuwa mtamu sana nakumbuka tulikuwa tunaimba uku tukiwa chin ya miembe na ndoo zetu kusubili embe zianguke,miguun peku,shati hakuna ni pensi tuu,kamasi linachuja linafutwa kwa kijanja tu,miguu michafuuuu baada ya kuoga mvua unarud om unapaka mafuta ya lezzi unameremeta kisha unaleta embe barazan unaanza kula kwa mbwembwe zooote.Daaaaah maisha yalikuwa zaman bhana sasa ivi hanasa tuuuu.Mimi mpaka leo najiuliza uhusiano wa nyimbo moja na tukio lililotokea huko US:
Mvua ikinyesha tulikuwa tunacheza kwenye mvua na kuimba, "Mvua njoo, katarina usije.....mvua njoo, katarina usije". Tuko wadogo, nadhani tulipokea/rithi hiyo nyimbo toka kwa wakubwa zetu; na ni miaka mingi nyuma, miaka mitatu minne nyuma tukashuhudia "Hurricane Katrina" na maafa aliyosababisha US; mvua inanyesha, moto unawaka!
Katarina/Katrina ni nini?
Hahahahha... Ni nimekuja kuelewa bdaee Sana..mule mule mkuu hizo the the hizo, zilikuwa kikwazo kikubwa... hahahaha
Umesahau atawaze na maji ya moto hahahahahaha...Ana Ana Ana do,
Kachanika basto,
ispiringi matingo,
kajamba, ushuzi unanuka, tena sana, sana kabisa.
Nadhani huu wimbo ulikuwa wa kizungu ukaswahilishwa, kama kuna mtu anaujua asili yake anaweza kutuhabarisha.
hapo si tulikuwa tunasema"tumpeleke mnazi mmoja" (mnazi mmoja hospitali)Tumpeleke hosipitali
Asije kusema kwa baba yakee...
Yesa yeesa yesa
Waaaaaaaa........(sasa hapo kwenye WAAAAA ndo utam ulipo manake mnakutanisha viuno wakaka na wadada)
Xanteee...fasihi simulizi inabadilika kutokana na mazingira...those days were sexy for surehapo si tulikuwa tunasema"tumpeleke mnazi mmoja" (mnazi mmoja hospitali)