nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
how i f****ng miss 'em😳😎Xanteee...fasihi simulizi inabadilika kutokana na mazingira...those days were sexy for sure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
how i f****ng miss 'em😳😎Xanteee...fasihi simulizi inabadilika kutokana na mazingira...those days were sexy for sure
Yesa yesa yesa yeee...bado kidogomwanangu kua kua nikutume
nikutume wapi kwa mfalme
kuna ng'ombe zetu 12
mmoja kafa kaliwa nyani
nyani mkinda tumkindule
tusole visiga vya bwana chuma
bwana chuma gani simdodo
simkindu dawa kanabuba..
nadhani na kizaramo ndani humo wala tulikuwa hatujui maneno mengine maana ake nini😀
Kama Dada wanipenda,kaninulie zeze,nikilala kitandani,zeze lanibembeleza,ahah amina,kusemasema kubaya,utamsema mmeo, aliyekupa hiyo maliAmina
Amina kadala
Sinowea(hata sijui ilikuwa ndyo nini)
Amina tumpepe tumpempe
Amina magereza magereza
Amina dush dushi karanga dushi
Mwingine
Shilingi ya Nyerere katikati kuna mwenge
Zunguluka nyuma utamkuta mwenyewe
Sobisobi sobi samwela sobisobi sobi samwela
Utoto wa zamani raha sana
i come from Alabama with my banjo on my knee,Mimi mpaka leo najiuliza uhusiano wa nyimbo moja na tukio lililotokea huko US:
Mvua ikinyesha tulikuwa tunacheza kwenye mvua na kuimba, "Mvua njoo, katarina usije.....mvua njoo, katarina usije". Tuko wadogo, nadhani tulipokea/rithi hiyo nyimbo toka kwa wakubwa zetu; na ni miaka mingi nyuma, miaka mitatu minne nyuma tukashuhudia "Hurricane Katrina" na maafa aliyosababisha US; mvua inanyesha, moto unawaka!
Katarina/Katrina ni nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Amina
Amina kadala
Sinowea(hata sijui ilikuwa ndyo nini)
Amina tumpepe tumpempe
Amina magereza magereza
Amina dush dushi karanga dushi
Mwingine
Shilingi ya Nyerere katikati kuna mwenge
Zunguluka nyuma utamkuta mwenyewe
Sobisobi sobi samwela sobisobi sobi samwela
Utoto wa zamani raha sana
katinganya katinganya kati..midabwadaKama Dada wanipenda,kaninulie zeze,nikilala kitandani,zeze lanibembeleza,ahah amina,kusemasema kubaya,utamsema mmeo, aliyekupa hiyo mali
Huu wimbo umenifanya niwakumbuke marafiki wangu wa udogoniyai bovu yai bovu.... linanuka linanuka...
huu wimbo una swaga nyingi hahaha
Afu unaendelea katikanya katikanya katiiiKama Dada wanipenda,kaninulie zeze,nikilala kitandani,zeze lanibembeleza,ahah amina,kusemasema kubaya,utamsema mmeo, aliyekupa hiyo mali
Hahahaha bora umenikumbusha.. Nilikuwa nauwaza Sana.. Huo wimbo wa kuruka kamba hapo penye yes yes utamuu ndyo pana rahaa.... Kamba inavyobamizwa chini lolAmina panda mlima
Siwezi kupanda
Kwann huwezi kupanda?
Naumwa na tumbo
Tumbo hilo kakupa nani?
Kijana hassan
Kwann usikatae ?
Naona utamu
Siku ya kwanza Utamu yes yes utamu
Siku ya pili utamu yes yes utamu
Siku ya tatu utamu yes yes utamu
Siku ya nne ng'aa ng'aa
Hivi akiyetunga nyimbo hii alifilia nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]