Teh[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hili song nilikuwa nalitumia kubambia..! [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]katinganya katinganya kati..midabwada
katinganya katinganya kati...inapepea
katinganya katinganya kati....kama bendera
Namtafuta rafiki rafiki rafikii
Rafiki yako naani naani naanii
Rafiki yangu Meendee Meendee Meendee
Huu mti gani, wa mchongoma
Nikiukata haukatiki
Hata kwa panga, haukatiki
Hata kwa shoka, haukatiki.
yai bovu yai bovu.... linanuka linanuka...
huu wimbo una swaga nyingi hahaha
Kombolela..Hahahaha ..nimekumbuka mbali sana na hzo nyimbo za utoto mpk nimeridisha nyuma miaka fasta najihic nipo katikat ya michezo ...
Ila kuna huu wimbo wa
Tiyari bado ..
Bado .
Wwengne wanaenda jificha
Mmoja anazinga mpira kati kati wakubutua ...kunawale wengne walikua wanajificha unatafuta mpk bac kumbe wanayao
Yes ..nilikua nimesahau jina lakeKombolela..
Linanukaje Linanukaje. ...
Fwiii Fwiii kabwelaaaa
Nina ndoo yangu eeeh
Ya kuchota maji eeeh
Usiku na mchana, eehh
Maji ya dhahabu eeeh
Ya kuoga baba eeeh
Pamoja na mama eeeh
Watoto msitizame nyuma.... Yai bovu linapotaa.
Moja nepa shauri ya mavi..
Mbili nepa shauri ya mavi ...
Tatu......
Nne......
Tano......
Sita.....
Saba nepa
Ya nane malizieni wenyewe
Ubarikiwe sana, Na ziwe wenye heri Na baraka siku zako zijazoHahahahaaa wewee Bujobuji weweee hehehehehehehhee
Huu wimbo niliuimba sana nikiwa mdogo. Na tulikuwa tunapenda kuuimba tukiwa tumetumwa dukani.
Umenichekesha sababu hapo ulipoweka rafiki yangu Mendeeeee Mendeeeee Meendee, kuna uzi mmoja jana nilicomment huu wimbo baada ya mshana jr kuweka picha ya vitoto 2 vikiwa vimeshikana na vinaobekana vinatembea barabarani.
Kwenye wimbo asilia wakati tuko wadogo hapo kwenye meendee tulikuwa tunataja majina yetu halisia mfano rafiki yangu atanitaja. ....rafiki yangu Kasie Kasie Kasie. .. na mie ntamtaja rafiki yangu Nyanzoo Nyanzoo Nyanzoo....
Sasa niliyosema hapo umeweka meendee aahahahahahahaa umenichekesha.... unajua Mende ni nani? Achilia cockroach. ..... aahahahahahahhahahahahahahaaa
Halafu ujue Bujibuji siku zote nikionaga avatar yako huwa naona una vituko kama huyo muigizaji wa ki nigeria.
Mdoondoo paaah (mnapiga makofi)Maji ya mdimu maji ya mdim
Saaagasagasagasaga
Kufunika
Kufunua..
Halafu sijui unaendelea aje huko mbele..! Daaah uzee unanikaribia..!