Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bai shoo I love you babyHuo wa baishoo huku kwetu uswazi tulikuwa tunaimba hivi
Bai shoo I love you baby the baby tuthesa thesa tu Ze yona the yona tothem them to the yona
Therewaa tu three fo Kata kona
nyimbo za wapi tena hizi!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wimbo nilikua naupenda huu! Haswa pale kwenye UTAMU!
Huku hamna mademu ningekuelekeza uje. Watoto wakifikisha miaka 13 hawajazaa wanachekwa. Huku hamna kuolewa ni kugegedwa tu
Mkuu hata mimi huo wimbo wa kingereza sikuujua na siujui na sitaujui lakn wengine wenye vipaji vyao waliunasakioo kiooo alikivunja nani...
simjui simjui wamwisho akamatwe....
bonus track
Kinyuliii nyulika, mwanangu mwana wa jumbe
kavaa nguo mbili ya tatu kajitanda, aliye juu aondoke...
hizo mbili mkuu zinakamilishwa na matukio kadhaa ya vitendo.
ila ukitaka wa kizungu.
by shoo i love you bebiiii, the bebi to the shoooo.... etc
huu sikuunasa vizuri maana mtaani kwetu english tulikuwa hatuijui sio watoto tu bali hadi wazazi,dada na kaka zetu hata waalimu wenyewe walikuwa hawaijui.
Mkuu we kibokoHuo wa baishoo huku kwetu uswazi tulikuwa tunaimba hivi
Bai shoo I love you baby the baby tuthesa thesa tu Ze yona the yona tothem them to the yona
Therewaa tu three fo Kata kona
Mama wa mahaba upo ?
ikii na hookoo na nche nche nche na ntena ncheeee...
Alieye kula Donaa.. na ....(nimesahau) ya kuchomaaa...
adoo msalale, (nimesahau)... kaondoka tenaa...
hizi lugha na haya maneno ya ujanjaujanja sijui asili yake ni wapi? Du....
Huu wimbo tuliuimba wakati wa kabla kombolela haijaanza. Kwa kupitia wimbo huu anapatikana atakaeanza kuwatafuta wengine(atakae anza kurishi kwa lugha ya mwanza)...
kama huu mlefu, ulikuwepo shortcut
"Funguaaa sodaaaa, Kunywa majiiiii"