Nyimbo za utotoni za zamani ambazo watoto wa leo hawazijui

Nyimbo za utotoni za zamani ambazo watoto wa leo hawazijui

Hao watoto wenu wa ushuani wanaosoma st anne maria sijui mary....huku kwetu uswazi kama kawa, juzi nimewasikia wanaimba ukuti ukuti saa mbili usiku umeme ulikuwa umekatika.....hawakuacha mpaka uliporudi nikasikia HUOOOOOOOOOOOOOOOO!
Hahaa hadi rahaaa,umenikumbusha mbaliiii jamanii kusubiria umeme na ukuti ukuti ilikuwa inanoga saaana,.ilikuwa full kubashiana lol[emoji12] [emoji85]
 
Binti Kilembwe umelala wapi
Nimelala kwa Selemani mchonga mbao
Nimekula kitam tam kama sukari
 
Bai shoo I love you baby
To the baby to the naaa
The na to the yona
To the yona to the miii
The mi to the pushideaaaa
Terewa tu three fo
Terewa
Takata kona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha
 
Maua ya bustani yamechanua
akina dada siri zenu tumezijua
boma la mtete msela kalitengeza...
............
Maua ya bustani yanachanua
Wakina dada Siri zenu tunazijua
Mkienda kwa mabwana mnachanua
WA kwanza chanuuuu mchanuliee
WA pili.......... Chanuu mchanuliee
 
Kinyuli nyulika mwanangwa wa Jumbe, kavaa nguo mbili, ya tatu kajifunika.Aliye juu aondoke.

Hapo mmefinyana nyumba ya viganja
Namkumbuka sana babu yangu huu mwimbo aiseee was his favourate
 
Kuna ule wa amina dumpempeeeee amina magerezaaaaaaaaaaaaa amina dish dish nmeimba kama ambavyo nilikuwa naimba huo mwimbo
 
Pajero pajero
Mama kapika ugali
Na kifaranga cha kuku
Tia hapa tia hapa....
Kama hautaki niambie..........

Mama kapika ubwabwa na kipande cha nyamaa
Tia hapa tia hapa sshhh sshhh
Kama hunitaki niambie sshhh sshhh
Niende mahali pengine sshhh sshhh ssshhh
Nikae chini nilie sshhh sshhh sshhh

Iyeee iyeebaaa sshhh sshhh sshhh
Makondee kabeebaa sshhh sshh sshhh
Kiyaiii cha mwanaaa sshh sshh ssshh
Aaiiijeeegeeree jeegeeree aaiiyaaah
 
Kindumbwe ndumbwee chaaalyaaa
Kindumbwe ndumbwee chaaalyaaa
Kikooojoooziii kajikojoleea na nguo kaitia motoo hiloooo.

Hahahahahhahahahahaaa looh
Ushawahi kuimbiwa nini......?
 
Baba yake Kansa kashona viraka...

Matakoni mwake vinaulizana...

Umekuja lini, nimekuja jana kushinda leo oooh!!

Titiii tiii titiiiiiiiiii iiii....

Hahahahahhahaa huo wimbo tulikuwa tunaimba kutokana na ala iliyokuwa inapigwa radio tanzania wakati wa mida ya kula chakula cha usiku. Sikumbuki ilikuwa kipindi gani ila sie tulikuwa tunaimba hiviii

Baba Asha nae, na viraka vyake..
Vinaulizana umekuja linii
Nimekuja janaa kuamkia leeooo. .....
 
Maua ya bustani yamechanua
akina dada siri zenu tumezijua
boma la mtete msela kalitengeza...
............

Na huu naukumbukaaa huu wimbo ni mrefu na mimi maneno mengine siyakumbuki.
 
Wakati mnaruka kama mimi nilikuwa sibanduki pembeni nachungulia vyupi!
Hahahaha enzi hizo chupi Taiwan zilikuwa zaitwa ukiruka kamba hadi uionyeshe!!! Kwa hyo umeanza kutufaidi kitambo!!!! Kidding
 
Back
Top Bottom