Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Jua hilo literemke mama aiyaiaa iyaaa mama×2 la tano kimbia (kiitikio waaaa kama kazi)
Mimi na rafiki yangu aee aee tulienda mlimani aeee aee tukachuma na matunda aee aee tunda likaniponyoka aee aee likamponda rafiki aee aee rafiki akaanza kulia aee aee tunda tunda tunda katika(hapa sasa snura cha mtoto viuno vinazungushwa sio wasichana wala wavulana kila mtu anapmbana na kuktika kwake)
Ngoro ngoro lia ngoro ngoro lia×2 nimeona mdege wengi mtini wametia fora wanipendeza mlio kama (nimesahau)
Nimeukumbuka huo wimbo wa ngoolooo ngoloolieee ngoolooo ngoloolieee ngoolooo ngoloolieee eeehhh ngoolooo ngoloolieee.
Tanzania tanzania nchi yenye mali nyingi
Watu wengi wengi wa ulaya wana ilikuwa sana
Nimeona ndege wengi chini wametia foraa
Wanapendeza mliiooo kama mtoto wa nyumbaniii
Ngoolooo ngoolooo liiee ngoolooo ngoolooo liieee. ......
Huu tuliuimba shule.