Haya ni maneno ya toka enzi na enzi kila kizaliwacho kinasifiwa cha nyuma.kwa upande wangu nikiambiwa nikosoe nyimbo za sasa
Nitakosoa matusi ya wazi wanayoweka .ambayo hata mtoto akianza kuimba unakimbilia chumbani kutafuta sehemu ya kujificha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.