hometown JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 939 Reaction score 1,311 Mar 8, 2022 #41 Haya ni maneno ya toka enzi na enzi kila kizaliwacho kinasifiwa cha nyuma.kwa upande wangu nikiambiwa nikosoe nyimbo za sasa Nitakosoa matusi ya wazi wanayoweka .ambayo hata mtoto akianza kuimba unakimbilia chumbani kutafuta sehemu ya kujificha
Haya ni maneno ya toka enzi na enzi kila kizaliwacho kinasifiwa cha nyuma.kwa upande wangu nikiambiwa nikosoe nyimbo za sasa Nitakosoa matusi ya wazi wanayoweka .ambayo hata mtoto akianza kuimba unakimbilia chumbani kutafuta sehemu ya kujificha