Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kwamba nakupinga ndugu yangu,mimi mwenyewe nimefunga lakini natamani ata kukatiza hii funga!!! sisi tunajifanya 2na imani sana lakini kiukweli sisi ni wanafiki wakubwa sana ndo manake MUNGU akashusha sura iitwayo {suratul munafiqun-sura ya wanafiki},,,nielezee sasa,nianze na wakristo alaf namalizia kwa waislam,,,kabla ya mfungo wa kwaresma,wakristo wengi walikuwa wakitenda kila ainaa dhambi,uzinzi,ushirikina,kusengenya wizi n,k,,,mfungo ulipoanza kwa sasa wengi wao{kwa waliofunga]wamesitisha dhambi kwa muda,lakini pindi funga ikiisha,na kuanzia siku ile sikukuu ya pasaka,nakuhakikishia ndio siku MUNGU anakasirika kwelikweli,gesti zitajaa,pombe zitanywewa sana,wake/waume za wa2 wazini sana,wizi utarudi kwa kasi,,,[UNAFIKI M2PU-BORA WANAOKULA],,,,,sasa niende kwa waislam,,,,hapa kuna viroja viwili,kiroja cha kwanza,kunakuwa na ndoa za chapchap kabla ya mwezi mtukufu wa ramadhan haujaanza,lengo ni kumdanganya MUNGU ili wapate kufurahia tendo la ndoa ilhali wengi wao wakijua wazi kwamba baada ya mfungo ndoa nyingi sana{sio zote] zitavunjika,,,sasa najiuliza ivi hawajui MUNGU anaona ya kesho??{upuuzi m2pu},,,,,kiroja cha pili cha kipuuzi ni hii ki2 inaitwa VUNJA JUNGU,,,yaani kama mfungo unaanza kesho mathalani,basi siku ya leo ni kuzini mwanzo wisho{paka mavuzi yananyonyoka] hauwezi kwenda gesti yoyote ukapata chumba,pombe,nyma ya nguruwe siku hiyo zitatumika kuliko maelezo{ sizungumzii dini ya adhimu ya kiislam naomba nieleweke,nazungumzia baadhi ya waumini wa kiislam] yaani wafanyacho wapuuzi hawa,ni sawa na kuvuta bangi mbele ya kituo ch polisi au ni sawa na kusimamisha defender la polisi na kuomba kibirti ili uwashe bangi,,na wanachofnya mbrle za MUNGU,,,sasa hapo,si ni bora hao wanaokula ovyo kuliko huu unafiki unaofanywa na sisi?Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Ni nchi maskini kulinganisha na First World Countries.Mbona hawajawa maskini?
Kwani wanaopika wanampikia nani?ivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Ufunge wewe niteseke mimi ? Tutaendelea kula kadri tunavyojisikia. Hatupangiwi simamia imani yako. Unatamanishwa kwa lipi ?Hivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
, ahitisha tu hiyo fungaHivi nyie hamna aibu? Mwaka mzima nyie mnakula tu bila kupumzika? Hamajisikii ganzi kuona watu wote wamefunga nyie kula tu barabarani hata hamuoni haya huu ni ujinga na uchizi wa kiwango cha lami
Nyie ambao mnakula lazima tuwashitaki kwa sababu mnatumanisha na sisi tupate na mzuka na hamu ya kula wakati tupo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwezi ambao dunia imatikisika baada ya kuingia kwa mwezi huu dunia mzima ipo kwenye swaumu ila kuna watu wajinga kutwa kula hovyo hovyo tu
Kama mnataka kula kaeni huko chemba au mjifungie vyumbani kwetu au kwenye mapagala yenu huku mkila na mkisaza sio kula tu hadharani mnatukera sana
Kwani ukifuturu ndio inatakiwa kuendelea na yale maovu uliyokuwa ukiyafanya. Anaonyesha bado ana ego kwa jamii au mtu asiyefungamana na imani yakeAmeyatoa akiwa ameshafuturu mkuu, kashiba miogo na viazi mbatata hapo anahemea juujuu
🤣🤣🤣hapa chawa kazimiaNyie nukeni midomo na kupauka kama misukule...
Sio tu kula chakula mchana, bali pia Tunawala wake zenu na dada zenu na minguo yao mchana kweupe 😂😅
Kama ana akili timamu,bora asishinde njaaMkuu, ghairi tu kufunga, maana kwa tamaa hiyo ya kula na makasiriko hayo dhidi ya wanaokula, sidhani kama kuna thawabu tena hapo. Nashauri somo la mifungo lifundishwe vizuri katka nyumba za ibada, watu wasijekua wanashinda njaa huku wakidhani wanafunga.
, ahitisha tu hiyo funga
kwani dini imekusaidia nini ndugu? wazo tu hilo ambalo mtu alilileta duniani, binafsi hata dini yangu hainisaidii, ila Wokovu kwa Yesu Kristo ndio umenisaidia hadi macho yangu yakafumbuka.Unahangaikia wapi wewe?
Jali mambo yako na Imani yako tu haya mengine hayakuhusu
Unanisifia majizi na matapeli
Fuata uongo huo ila usishawishi watu kama wewe na familia yenu mmepotea kwa ujinga wa huo basi tuache na dini yetu sana
Uwe na Imani yako na mengine hayakuhusu sawa
This will be my last conversation with you
Have a nice one