Nyinyi wezangu mkitenda dhambi huwa hamuadhibiwi? Video za Balthazar zimefanya niadhibiwe usiku kucha

Mkuu, kwa hiyo hapo katika episodes zote ulizoangalia unaona stelingi atakufa mwishoni au, umegundua nini kwenye hiyo Tamthiliya?
Ahahah naona anapata gono mwisho wa siku na kuwa na watoto wengi zaidi
 
Kwahiyo uzinzi ndo dhambi peke yake? Au hutendi/hufanyi dhambi? Usimsingizie Mungu! Umepigwa na mashetani yako!
 
Ahahah naona anapata gono mwisho wa siku na kuwa na watoto wengi zaidi
๐Ÿ˜… Itakuwa huko EQ G hakunaga gono wala magonjwa. 400 wote si angekuwa ashafungiwa mrija anatembea na mfuko wa kukojolea?

Huku bongo 10 tu unaweza kuanza kutembea kama umebana tikiti kwenye sehemu za siri.
 
Nimeangalia "avatar " yako nimeona wewe ni mtenda dhambi kama wengine? Unajua dhambi ya "tattoo" na uzinzi ni sawa? Zote zinafanyika juu ya mwili!

1 Wakorintho 3:17
[17]Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi"
 
Baasi, usihangaike kuvuta vuta vitu ambavyo havionekani. Mimi nagawa hisia bure kabisa, na hisia zinaonekana kabisa! ๐Ÿ˜… Karibu sana!
Hebu tokapa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sidanganyiki ng'oooo
 
๐Ÿ˜… Itakuwa huko EQ G hakunaga gono wala magonjwa. 400 wote si angekuwa ashafungiwa mrija anatembea na mfuko wa kukojolea?

Huku bongo 10 tu unaweza kuanza kutembea kama umebana tikiti kwenye sehemu za siri.
Ila tutegemee watoto wengi
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Kataa ndoa pole sana na usiku mwema
Siwezi kuwa kataa ndoa wewe, nipo na babe pembeni hapa ila sitaki usumbufu๐Ÿคฃ. Ngoja nilale kesho niwahi ibada!
 
Siwezi kuwa kataa ndoa wewe, nipo na babe pembeni hapa ila sitaki usumbufu๐Ÿคฃ. Ngoja nilale kesho niwahi ibada!
Hahahaha kumbe wewe safi kabisa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšถ๐Ÿพโ€โ™€๏ธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ