Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.

Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.

 
Hawa tucta Wana Upuuzi , Kama wanalalamika waache kazi, mshahara haijawahi kutosha kamwe, tangu lini kitu Cha kupimiwa kikatosha, wafanyakazi wafanye kazi mbadara kwa lengo la kuinua mapato yao

Sasa Hilo tamko litabadiki nyongeza???
 
IMG-20220722-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom