Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba mpya itaondoa vyama kanjanja ambavyo having tija KWA jamii kama TUCTA NA CWT!!
Ndio màana tunalia na Katiba Mpya kama HIVI:-
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
Daaaadekii.....Ile nyongeza ya 23.3% iko wapi?
Tunajisikiaje watumishi wa umma wanapodanganywa na Serikali kama watoto wadogo?
Mlizike aiseeRais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Tukta ninyi Ni makada sugu wa chama kijani hamuwezi kuwatetea wafanyakazi kuliko kutetea ukada wenuRais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Msitusumbue uchaguzi ukifika mnageuka kuwa makada pambaneni kivyenuRais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Tukatae haya makato! InawezekanaWanatukata 2% looooo
Hakika Magufuli alikua nabiiMagufuli hakuongeza mshahara ila mfumuko wa bei haukuwa kama huu ulivyo!
Yani umeongezwa elfu 20 alafu garama za maisha zimepand kwa laki 1..
Mkome kuwa machawa
Wewe umesemakwa hiyo Samia muongo
Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Ni 34,500 enhe unataka kusemaje?Sie wengine hatujui hesabu kwa wanao jua toeni maelekezo, 150,000 kwa 23% ongezeko lake linakuwa kiasi gani?.
Sent using Jamii Forums mobile app