Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.

Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
TUCTA wanatofauti gani na UVCCM ? Hao hawana msaada na watumishi hata kama wanatokana na watumishi. Ni vibaraka wa CCM tuu
 
Rais wa hovyo kuwahi kuongoza Tz....,anadepend kwa Mwigulu ambaye ni competitor wake.....,Mwigulu ni spareware.
Usidhani umejifocha humu kwa kutoa kashfa kwa Mamlaka,sheria ya makosa ya mitandaoni haijafutwa..

Kwa hiyo wewe kibwengo ndio unajua saana Mwigulu kuliko Rais si ndio?

Acha kuropoka mambo usiyoyajua utakuja kula hasara ya mazima.
 
Ametangaza kutoa tamko ili wampooze (wakubaliane kibongobongo) ndio aje na tamko la kijanjajanja
Na ndio maana amesema atatoa ufafanuzi.

Yaani hapo atapikwa halafu atuletee blah blah nyingi...kuwa jamani Vita vya Russia na Ukraine vimeicost Taifa, Royal tour imetumia pesa nyingi, Mara tumuhurumie na kumsaidia mama yetu...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
nyie watumishi huwa hamueleweki, mwanzo mlikuwa mnalalamika kuwa muongezewe hata kidogo, leo Mama kaongeza mnaanza tena kulaumu, ooohh nyongeza ndogo!!!

mmesahau mlivyo henyeka awamu ya 5!!!

leo hii ndani ya mwaka mmoja Mama kawafanyia mambo kibao,
mmepandishwa madaraja/vyeo, nyongeza n.k.

Leo hii sisi tusio na ajira tunatamani sana, kama umechoka pisha sisi tuingie.

Ama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi kushukuru.

Watumishi punguzeni kudeka, mmezidi kudeka na hii ndio shida ya kudekezwa, hamkustahili kuongezwa mpaka baada ya miaka 10.
 
Hawa tucta Wana Upuuzi , Kama wanalalamika waache kazi, mshahara haijawahi kutosha kamwe, tangu lini kitu Cha kupimiwa kikatosha, wafanyakazi wafanye kazi mbadara kwa lengo la kuinua mapato yao

Sasa Hilo tamko litabadiki nyongeza???
Hiyo kazi mbadala haihitaji mtaji? Mtaji wanapata wapi ikiwa hawakopesheki?
 
Ile nyongeza ya 23.3% iko wapi?
Tunajisikiaje watumishi wa umma wanapodanganywa na Serikali kama watoto wadogo?

Nyongeza hiyo uliambiwa ni kwaajili ya kima cha chini cha mshahara, na ndivyo wakati wote mishahara inapopandishwa huwa inazingatia hilo, halafu kadiri mshahara unavyokuwa mkubwa ndivyo asilimia ya huo mshahara inavyopungua hadi juu kabisa unaweza kuta mtu wa juu kabisa kimshahara kaongezewa hata asilimia tatu tu. Angalia vizuri mshahara sako, kama unapata kima cha chini lazima umeongezewa 23%. Upo hapo kijana!
 
Nyongeza hiyo uliambiwa ni kwaajili ya kima cha chini cha mshahara, na ndivyo wakati wote mishahara inapopandishwa huwa inazingatia hilo, halafu kadiri mdhahara unavyokuwa mkubwa ndivyo ssilimia ya huo mdhahara inavyopungua hadi juu kabisa unaweza kuta mtu wa juu kabisa kimshahara kaongezewa hata asilimia tatu tu. Angalia vizuri mshahara sako, kama unapata kima cha chini lazima umeongezewa 23%. Upo hapo kijana!
Stupid
 
nyie watumishi huwa hamueleweki, mwanzo mlikuwa mnalalamika kuwa muongezewe hata kidogo, leo Mama kaongeza mnaanza tena kulaumu, ooohh nyongeza ndogo!!!

mmesahau mlivyo henyeka awamu ya 5!!!

leo hii ndani ya mwaka mmoja Mama kawafanyia mambo kibao,
mmepandishwa madaraja/vyeo, nyongeza n.k.

Leo hii sisi tusio na ajira tunatamani sana, kama umechoka pisha sisi tuingie.

Ama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi kushukuru.

Watumishi punguzeni kudeka, mmezidi kudeka na hii ndio shida ya kudekezwa, hamkustahili kuongezwa mpaka baada ya miaka 10.
Hata wew ukiingia huko, ukikaa mwaka tuu utaanza kulalamika.
 
Back
Top Bottom