Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

Nyongeza ya mishahara TUCTA wamasema wamepokea malalamiko, watatoa tamko

Serikali ilikuwa haina uwezo wa kulipa hiyo mishahara kwa ongezeko tajwa
Ingeweka wazi tu.
Kuliko hii taharuki iliyojitokeza.

Ukweli unabaki kuwa njia sahihi ya maisha.

1. Hivi nchi nyingine za kiafrika zinazo ongeza mishahara kila mwaka wa fedha kama Kenya na Rwanda zinaizidi nini Tanzania ?

2. Raisi Kikwete mbona aliweza kuongeza mishahara wa uhakika kila mwaka huku akijenga uchumi ?

Kwa miaka sita mtumishi wa umma kafanya kazi bila nyongeza ya mshahala, mwaka wa saba hali inakuwa kama hii, unataka kuwaambia nini watumishi wa umma?

Nini mama ya uongozi wa umma ?

Ujue ktk hiyo miaka mtumishi wa uma ameshindwa kuongeza;

Pensheni yake.
Thamani ya Bima yake ya afya.
Pato lake halali
Fao lake la kustaafu
Nk.

Unaonaje ukatangaza kabisa hakuna nyongeza ya mishahara hadi utakapo maliza muda wa madaraka yako ili watumishi wajue hatima yao ?

Kwanini hutaki kuwa Mkweli ?
 
Heri kusema ukweli kuliko kuendekeza siasa...ni vigumu sana ukiwa na miradi mikubwa miwili ya Umeme na reli ujaea na uwezo wa kuongeza mishahara wafanyakazi wanavyotaka.nina uhakika hii miradi ikikamilika serikali itakuws ba uwezo wa kulip kiasi chochote pendekezwa
Hivi leo hii tunaishi Kwa miradi hiyo??

Ni Bora useme ukweli kuliko ulongo
 
Asante sana kwa andiko bora sana, hakuna namna ya kujitetea au kutetewa, siwezi kuacha kazi japo natamani ningekuwa na uwezo ningeacha, kilichopo ni kuiibia serikali hadi kieleweke. Hili tulitegemee sana.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duuuh!!
Hakikisha unakuwa na kimradi Cha kukuingizia kipato pembeni. Kuishi kwa kutegemea mshahara ni kujitaftia pressure
 
Katiba Mpya itaainisha namna ya kupata hao wasimamizi kwa haki, so watakuwa ni halali na watatenda HAKI., Siyo hao haramu waliopatikana kwa wizi, unyang'anyi, udanganyifu na hila!!!!

Unadhani itasema watanzania wapige Kura ya kumpata mkuu wa mkoa? Au mkuu wa wilaya? Hahaha haiwezekani

Vyovyote itakavyoeleza Ila hao wasimamizi watakuwa chini ya Rais au Chini ya mamlaka flani ambayo yanaongozwa na mtu

Na hao watu ndio shida yetu sio katiba
 
Vyovyote itakavyoeleza Ila hao wasimamizi watakuwa chini ya Rais au Chini ya mamlaka flan ambayo yanaongozwa na mtu
Naam..
Huyo Rais atakuwa amechaguliwa na umma kihalali kupitia sanduku la kura, so maamuzi yake pamoja na teuzi zake vitaakisi matakwa ya wananchi
 
Kukiwa na Tume Huru ya Uchaguzi, Kura za ccm zisipotosha mtafanyaje?!

Tatizo mitandao inawadanganya Sana, mnaona kabisa lisu au mbowe anaweza kumchallange candidate wa ccm never

Elimu ya vyama vya upinzani ipo mijini Tu tena sio miji yote

Kwa case ya urais upinzani kushinda ni bado Sana

Na wanasiasa wa upinzani ndio wanalia na katiba mpya wao wanataka iwasaidie kuingia kwenye serikali


Hakuna mwanainchi wa kawaida ambao ndio wengi et wako busy na katiba mpya
 
Tatizo mitandao inawadanganya Sana, mnaona kabisa lisu au mbowe anaweza kumchallange candidate wa ccm never

Elimu ya vyama vya upinzani ipo mijini Tu tena sio miji yote

Kwa case ya urais upinzani kushinda ni bado Sana

Na wanasiasa wa upinzani ndio wanalia na katiba mpya wao wanataka iwasaidie kuingia kwenye serikali


Hakuna mwanainchi wa kawaida ambao ndio wengi et wako busy na katiba mpya
Mjini tu?!
Seems huelewi mambo mkuu🤔
 
Back
Top Bottom