we kima acha vitisho vyako vya kijingaUsidhani umejifocha humu kwa kutoa kashfa kwa Mamlaka,sheria ya makosa ya mitandaoni haijafutwa..
Kwa hiyo wewe kibwengo ndio unajua saana Mwigulu kuliko Rais si ndio?
Acha kuropoka mambo usiyoyajua utakuja kula hasara ya mazima.
Mjini tu?!
Seems huelewi mambo mkuu🤔
Ni msiba wa siasa
LICHA ya vumbi la kimbunga cha uchaguzi mkuu kutulia baada ya kuwapa ushindi wabunge 264 wanaoanza mkutano Dodoma, bado linaendelea kuacha makovu na maumivu kwa wagombea, akiwamo Zuberi Kuchauka, ambaye mali zake zimeharibiwa.www.ippmedia.com
Kabla nyongeza haIjatoka wiijua vizuri viwango vyake na waliiafiki. Wanachofanya sasa ni kuwalaghai tena wafanyakqzi kuwa wanawatetea wakati wao ndio adui mkuu wa wafanyakazi.Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
Kumbe Magufuli angeongeza 20000 kila Mwaka tu angalau ingekuwa vizuri . 20000×6= 120,000Watu wameongezwa 12,000 na wengine 20,000.
Hii ni dharau kwa watumishi
Katika awamu zote zilizo pita mpka wawmu hii ya 6 hakuna wafanyakazi waliofanya kazi kwa kujituma kama awamu ya 5.Mwigulu anamvizia mama 2025. Mama naye hajui hili.
1. Tozo nyingi
2. Kupanda gharama za maisha
3.Upendeleo ajira
4.....
6.....
Rais akusema Waziri hatekelezi. Hasira zinabaki kwa mama.
Tutegemee utendaji kazi mbaya kywahi kutokea.
Bora asingetamka
Nam pia nilikimbia huu utumwa mara tu jiwe alipopewa nchi. Now nakula Bata tu aisee.Rais wa Tucta ama shirikisho la vyama vya wafanyakazi amesema wamepokea malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa serikali kuhusu nyongeza za mishahara ya 23% waliokua wanaitegemea kama alivyoahidi rais kwenda kinyume na matarajio yao.
Rais wa TUCTA amesema wamepokea malalamiko na watatolea ufafanuzi hivi karibuni.
WoyooooTUCTA bana daa