shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
Wandugu,
Wakati serikaki ikiongeza mshahara kwa shilingi 10,000.00 serikali hyo mshahara ukifika benk baada ya kulipa kodi ya PAYE, huko benki serikali inatoza kodi tena.
Huu ni uonevu ulopitiliza, ni unyonyaji kwa wafanyakazi na ushamba kwa viongozi walobuni hiyo tozo bila kutafakari.
Mtu unaweza kuwa na Phd ila usiwe na akili TIMILIFU yenye ubingwa katika kufanya kwa busara.
Tuipinge kodi hyo kila kona na ikiwezekana mshahara ukiingia toa zote ukaweke vikoba
Wakati serikaki ikiongeza mshahara kwa shilingi 10,000.00 serikali hyo mshahara ukifika benk baada ya kulipa kodi ya PAYE, huko benki serikali inatoza kodi tena.
Huu ni uonevu ulopitiliza, ni unyonyaji kwa wafanyakazi na ushamba kwa viongozi walobuni hiyo tozo bila kutafakari.
Mtu unaweza kuwa na Phd ila usiwe na akili TIMILIFU yenye ubingwa katika kufanya kwa busara.
Tuipinge kodi hyo kila kona na ikiwezekana mshahara ukiingia toa zote ukaweke vikoba