Nyongeza ya mshahara Tsh 10,000 nayo inatozwa kodi ukiitoa benki au ATM

Nyongeza ya mshahara Tsh 10,000 nayo inatozwa kodi ukiitoa benki au ATM

Wandugu,

Wakati serikaki ikiongeza mshahara kwa shilingi 10,000.00 serikali hyo mshahara ukifika benk baada ya kulipa kodi ya PAYE, huko benki serikali inatoza kodi tena.

Huu ni uonevu ulopitiliza, ni unyonyaji kwa wafanyakazi na ushamba kwa viongozi walobuni hiyo tozo bila kutafakari.

Mtu unaweza kuwa na Phd ila usiwe na akili TIMILIFU yenye ubingwa katika kufanya kwa busara.

Tuipinge kodi hyo kila kona na ikiwezekana mshahara ukiingia toa zote ukaweke vikoba

Lete habari nyingine, mambo ya mishahara tulishafunga last month, hatujadili tena hadi mwaka mwingine wa fedha. Afterall hata ukipewa hiyo elfu 10 nzima nzima itakuwa imetatua nini kwenye maisha yako ya kila siku. Fuga kuku, sungura , bata nakadhika ili vi-boost kipato chako. Mshahara ni kichocheo tu cha wewe kufanya mambo makubwa! Kuna watu huku mitaani hata laki moja kwa mwezi hajawahi kuiona lakini wanadunda mitaani! Funguka, tafuta njia ya kupandisha hicho kidogo ulichonacho! Usitulilie hapa, wengine hatuna hiyo mishahara!
 
Wandugu,

Wakati serikaki ikiongeza mshahara kwa shilingi 10,000.00 serikali hyo mshahara ukifika benk baada ya kulipa kodi ya PAYE, huko benki serikali inatoza kodi tena.

Huu ni uonevu ulopitiliza, ni unyonyaji kwa wafanyakazi na ushamba kwa viongozi walobuni hiyo tozo bila kutafakari.

Mtu unaweza kuwa na Phd ila usiwe na akili TIMILIFU yenye ubingwa katika kufanya kwa busara.

Tuipinge kodi hyo kila kona na ikiwezekana mshahara ukiingia toa zote ukaweke vikoba

Hata ukitoa zote pia mashine ya ATM itafyeka pakubwa tu, hakuna ujanja! Solution ni kuacha kazi basi!
 
Hivi Mwigilu amesomea mambo ya fedha kweli?! Now mpaka ukituma pesa benki inakatwa,ukitoa inakatwa.

Tuna serikali isiyojua wajibu wake katika kujenga uchumi,yaani wanafikiri kuongeza kodi tuuu,Ila awaangalii kupunguzq matumizi Yao ya anasa na safari za kipuuzi.
Inakera mnoo

Mwigulu amesoma Uchumi lakini hakuwa idara ya Finance kwa hiyo mambo ya finance wapo wataslamu pale kwake, usiwe na wasisasi! Kafanya kazi hadi Benki Kuu tena kwa weledi mkubwa kabla hajaingia mambo ya siasa!
 
Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako, huwezi acha kuishi, nasapoti tozo zote zinazotozwa na serikali ya awamu ya sita.

Unataka mabeberu ndo yaje yalipe Kodi?
 
Hivi Mwigilu amesomea mambo ya fedha kweli?! Now mpaka ukituma pesa benki inakatwa,ukitoa inakatwa.

Tuna serikali isiyojua wajibu wake katika kujenga uchumi,yaani wanafikiri kuongeza kodi tuuu,Ila awaangalii kupunguzq matumizi Yao ya anasa na safari za kipuuzi.
Inakera mnoo

Kila kona ya dunia makato yapo ndugu yangu, tena Tanzania ndiyo tulichelewa sana! Hata ungekata kona gani ulimwenguni mfyeko upo kila hiyo kona!
 
Huyu mama akiendelea kumuendekeza Mwigulu, basi 2025 ajiandae tu kwa maumivu makali!

kama bado lakini ana zile ndoto zake za kuja kuwa Rais wa kuchaguliwa.
Mkuu Kwani hiyo Kodi inapotozwa inaenda kwa account ya mwigulu na familia yake au inatunufaisha watanzania wote?

Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako, nashauri iwepo na Kodi ya unyayo!!!
 
Kuna kusoma na kuelimika.

Pia sio wote wenye PhD ni za kweli. Wengine wamezipata kwa kuboot.

Yaani mtu amesha katwa kidi zote. Hadi bank charges, halafu mchumi namba moja, anakuja kukata ile serving yako aba ipunguza tena kwa tozo.

Ndio maana Mwalimu Nyerer( RIP) Alikuwa ana angalia kabila la kushika wizara ya fedha.

Anyway, hitoria itasema.

Nani alikuambia ni mchumi namba moja? Wachumi namba moja wapo pale Mlimani na ndio waliomfundidha uchumi!
 
Wanao umia ni Sukuma Gang, wale wenye mimba za chuki za Mwendazake bado wapo Burundi.
 
Wabongo acheni kulalamika fanyeni kaZi mimi niko uku cambodia maisha yako juu acha mchezo uku hata kudeposit fedha bank kuna makato , gb moja ni sawa Na elfu kumi za kibongo halafu hali ya mtaani ni mbaya mnoo yani watu tunashindia ugali Na uji acheni kulalamika

Afadhali waambie hawa vijana maana wanadhani hela zinachapwa kama magazeti! Kutwa nzima wapo kwenye mitandao, kazi wanafanya saa ngapi? Tusingekuwa wakulima na wafanya biashara kukatwa kodi ya uhakika sidhani hata hiyo nyongeza ya 10,000 wangepata! Hawazalishi chochote! Kila dakika wapo kwenye simu! Shenzi sana!
 
Wandugu,

Wakati serikaki ikiongeza mshahara kwa shilingi 10,000.00 serikali hyo mshahara ukifika benk baada ya kulipa kodi ya PAYE, huko benki serikali inatoza kodi tena.

Huu ni uonevu ulopitiliza, ni unyonyaji kwa wafanyakazi na ushamba kwa viongozi walobuni hiyo tozo bila kutafakari.

Mtu unaweza kuwa na Phd ila usiwe na akili TIMILIFU yenye ubingwa katika kufanya kwa busara.

Tuipinge kodi hyo kila kona na ikiwezekana mshahara ukiingia toa zote ukaweke vikoba
Ndugu yangu alikuwa na salary ya 735K amedraw three times 30K imeishia kwenye makato
 
Hizo mbinu za kipumbavu tunazojivunia alikuwa anazifanya Moi na KANU miaka ya 90.. Wakenya walishavuka kwenye huo ujinga wa kuibiana kura kitoto na kimabavu.

Sisi bado tuko usingizini, tunaibiwa na kuteswa lakini hakuna yeyote anayeweza kufanya au kuzuia kinachoamuliwa.

Kenya upumbavu kama huu tunaofanyiwa tayari Mawakili na Law Society yao ingeshaenda High Court kuzuia huo ujinga.

Sisi mawakili wetu na chama chao wako kimya tu kama hakuna manung'uniko huko mitaani.

Mbona anina Peter Kibatala ndio mnaosifia kuwa wapo moto! Sasa wanafanya nini!
 
Mwanamke hafai kuongoza nchi, katika uislam mwanamke hatakiwi kushika madaraka makubwa atayumbishwa
 
I wish Mheshimiwa Phillipo Mpango angeendelea kuhudumu kwenye Wizara ya Fedha! Alikuwa ni mbunifu sana kwenye kodi. Na kodi zake nyingi zilikuwa hazina athari ya moja kwa moja wananchi wa kawaida.

Ila huyu jamaa wa sasa! Kiukweli ni janga. Amejawa tu ujivuni na dharau.
Mpango si bado yupo kwenye Serikali hiyo hiyo?! Tena anaingia kwenye Baraza la Mawaziri ambalo limebariki tozo hizi. Angekuwa mwema kama unavyosema angeshauri vyanzo mbadala badala ya ku-authorize hizi. Wote ni walewale.
Mbona hatulalamikagi haya mijitu na chama chao yanapopitaga bila kupingwa? Matunda yake ndo haya, tuvumikie tu. Hakuna namna.
 
Wandugu,

Wakati serikaki ikiongeza mshahara kwa shilingi 10,000.00 serikali hyo mshahara ukifika benk baada ya kulipa kodi ya PAYE, huko benki serikali inatoza kodi tena.

Huu ni uonevu ulopitiliza, ni unyonyaji kwa wafanyakazi na ushamba kwa viongozi walobuni hiyo tozo bila kutafakari.

Mtu unaweza kuwa na Phd ila usiwe na akili TIMILIFU yenye ubingwa katika kufanya kwa busara.

Tuipinge kodi hyo kila kona na ikiwezekana mshahara ukiingia toa zote ukaweke vikoba
Jua kali yaja juu yao , hacha wafanye Mungu yupo kazini usiuzunike Wala kujuata naishia hapo Bwana awe juu YAKO ,umebarikwa na imekua,ipo siku watakumbuka hili wasipo punguza kobri
 
Back
Top Bottom