shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
- Thread starter
- #41
Yaani wanatumia uji badala ya ubongo kufikiriWanakuongeza 8,000/- halafu wanakata 9,000/- kwa wewe kuitoa hela hiyo.. Ni sawa na kukupunguzia 1000/- toka kwenye mshahara