Nyongeza ya mshahara Tsh 10,000 nayo inatozwa kodi ukiitoa benki au ATM

Mwigulu Mchemba huyo !!! Laana ya Mungu imshukie yeye na familia yake kafanya hivyo ili apate kuiba akafadhili timu yake ya mpira
 
Ndio haohao wezi wenyewe CCM ni wezi Hali ngumu kama hizi kweli leo hii tunakuja kuumizana kiasi hicho
 
Sasa yeye si makamu wa rais kama akishindwa akiwa hapo hawezi hata ukimrudisha

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Halafu tozo zina accumulate, siku wakiamua wanakwangua akiba yako.......huyo ndo madelu mchumi daraja la kwanza.
 

Mbona wewe ndio unalalalmika Sasa. Kama wewe kuishi Maisha magumu Cambodia unaona sawa usilazimishe wengine huku Tanzania. Wewe ridhika huko Cambodia achana na sisi Tanzania tulalamike.
 
Maandiko yanatimia sasa,yaani hata kile kidogo unacho dhani unacho kitachukuliwa,ni maandiko hayo ,,in nabii tito voice.
 
Halafu tozo zina accumulate, siku wakiamua wanakwangua akiba yako.......huyo ndo madelu mchumi daraja la kwanza.
Halafu yeye anajinunulia Shangingi la LC300 ambalo hata waziri mkuu wa Japani hatembelei.
Msafara mmoja yanakuwepo hayo madude kama mia hivi!!! Hii nchi sio maskini ila imejaa wabadhirifu.
 
2025 Kuna jipya gani? nani kakwambia ccm inategemea Sanduku la kura! umemsikia aliesema Kenya ije kujifunza kwetu mbinu za uchaguzi
Hizo mbinu za kipumbavu tunazojivunia alikuwa anazifanya Moi na KANU miaka ya 90.. Wakenya walishavuka kwenye huo ujinga wa kuibiana kura kitoto na kimabavu.

Sisi bado tuko usingizini, tunaibiwa na kuteswa lakini hakuna yeyote anayeweza kufanya au kuzuia kinachoamuliwa.

Kenya upumbavu kama huu tunaofanyiwa tayari Mawakili na Law Society yao ingeshaenda High Court kuzuia huo ujinga.

Sisi mawakili wetu na chama chao wako kimya tu kama hakuna manung'uniko huko mitaani.
 
Labda PhD ya betting !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…