shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
- Thread starter
-
- #41
Yaani wanatumia uji badala ya ubongo kufikiriWanakuongeza 8,000/- halafu wanakata 9,000/- kwa wewe kuitoa hela hiyo.. Ni sawa na kukupunguzia 1000/- toka kwenye mshahara
Pesa yoyote ikiingia ktk account yakoLamda sijakuelewa,, yaan nikienda kwa nmb wakala nikaweka pesa yangu bank inamaana hapo pia wanakata
Mwigulu Mchemba huyo !!! Laana ya Mungu imshukie yeye na familia yake kafanya hivyo ili apate kuiba akafadhili timu yake ya mpiraWandugu,
Wakati serikaki ikiongeza mshahara kwa shilingi 10,000.00 serikali hyo mshahara ukifika benk baada ya kulipa kodi ya payee, huko benki serikali inatoza kodi tena.
Huu ni uonevu ulopitiliza, ni unyonyaji kwa wafanyakazi na ushamba kwa viongozi walobuni hiyo tozo bila kutafakari.
Mtu unaweza kuwa na Phd ila usiwe na akili TIMILIFU yenye ubingwa katika kufanya kwa busara.
Tuipinge kodi hyo kila kona na ikiwezekana mshahara ukiingia toa zote ukaweke vikoba
Tuanze na kukataa kuhesabiwaHata mimi nahisi kuna hujuma za maksudi ili watu wapigie kura za hasira 2025.
Mkia hauwezi kutingishika ikiwa mwenye mkia wake asiporuhusu huo mkia utingishike.Kwa hali hii ni upuuzi wa mtu mmoja mwenye phd za majalalani
Mwizi Mkubwa yule Wana JF shine hii Kodi haifai na haichagui ni CCM au CDM tuipingeKwa hali hii ni upuuzi wa mtu mmoja mwenye phd za majalalani
Ndio haohao wezi wenyewe CCM ni wezi Hali ngumu kama hizi kweli leo hii tunakuja kuumizana kiasi hichoI wish Mheshimiwa Phillipo Mpango angeendelea kuhudumu kwenye Wizara ya Fedha! Alikuwa ni mbunifu sana kwenye kodi. Na kodi zake nyingi zilikuwa hazina athari ya moja kwa moja wananchi wa kawaida.
Ila huyu jamaa wa sasa! Kiukweli ni janga. Amejawa tu ujivuni na dharau.
Nani amekuambia rais huchaguliwa kwenye sandukuHuyu mama akiendelea kumuendekeza Mwigulu, basi 2025 ajiandae tu kwa maumivu makali!
kama bado lakini ana zile ndoto zake za kuja kuwa Rais wa kuchaguliwa.
Sasa yeye si makamu wa rais kama akishindwa akiwa hapo hawezi hata ukimrudishaI wish Mheshimiwa Phillipo Mpango angeendelea kuhudumu kwenye Wizara ya Fedha! Alikuwa ni mbunifu sana kwenye kodi. Na kodi zake nyingi zilikuwa hazina athari ya moja kwa moja wananchi wa kawaida.
Ila huyu jamaa wa sasa! Kiukweli ni janga. Amejawa tu ujivuni na dharau.
Inawezekana hizi ndo zinafanya usajili wa wachezaji, maana watu wanamiliki timu huko......Serikali kwenye kila muamala wa benki inakata vat charges nashangaa tena wanachukua tozo inasikitisha sana kile kidogo tunachobakiwa nacho wanachukua
Wabongo acheni kulalamika fanyeni kaZi mimi niko uku cambodia maisha yako juu acha mchezo uku hata kudeposit fedha bank kuna makato , gb moja ni sawa Na elfu kumi za kibongo halafu hali ya mtaani ni mbaya mnoo yani watu tunashindia ugali Na uji acheni kulalamika
Barbarism is devil's mission !!Mwigulu Mchemba huyo !!! Laana ya Mungu imshukie yeye na familia yake kafanya hivyo ili apate kuiba akafadhili timu yake ya mpira
Halafu yeye anajinunulia Shangingi la LC300 ambalo hata waziri mkuu wa Japani hatembelei.Halafu tozo zina accumulate, siku wakiamua wanakwangua akiba yako.......huyo ndo madelu mchumi daraja la kwanza.
Wanazipeleka Japani kujinunulia mashangingi ya bei mbaya unayoyaona kwenye misafara mirefu ya viongozi.Iv wanapeleka wapi izo pesa mana me sioni chochte kinachofanyika Tanzania [emoji1241]
Hizo mbinu za kipumbavu tunazojivunia alikuwa anazifanya Moi na KANU miaka ya 90.. Wakenya walishavuka kwenye huo ujinga wa kuibiana kura kitoto na kimabavu.2025 Kuna jipya gani? nani kakwambia ccm inategemea Sanduku la kura! umemsikia aliesema Kenya ije kujifunza kwetu mbinu za uchaguzi
Labda PhD ya betting !!Hivi Mwigilu amesomea mambo ya fedha kweli?! Now mpaka ukituma pesa benki inakatwa,ukitoa inakatwa.
Tuna serikali isiyojua wajibu wake katika kujenga uchumi,yaani wanafikiri kuongeza kodi tuuu,Ila awaangalii kupunguzq matumizi Yao ya anasa na safari za kipuuzi.
Inakera mnoo