Nyongeza ya mshahara Tsh 10,000 nayo inatozwa kodi ukiitoa benki au ATM


Wakenya hawajavuka popote ndugu yangu. Africa usanii upo damuni.
 
Binadamu ndiye kiumbe pekee anayelipia kuishi kwenye sayari yake....
 
Lipa tozo wewe acha kupenda buree.
Lipa tozo kwa maendeleo yako na wajukuu zako
 
Pongezi kwa Mwigulu kwa kazi nzuri.
Hakika nchi haiwezi kusonga mbele bila kulipa kodi/tozo lazima tulipe tozo.
 
๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ”Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ