Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,389
- 2,025
Hapana labda kwa sumu ndiyo inaongoza wehu wengi sidhani lakini wapo,matukio ambayo Ni common ukichaa na kujinyonga yapo huko ila muongoza gwaride Ni SumuHivi nikwanini Kankoko inaongoza kuwa na Wehu wengi katika Mkoa wa Kigoma?!
Kupata ithibati njema ,Ni kujaribu sumu ambayo inasadikika imetengenezwa na nyongo ya mamba kisha uhakikishe na kile ulichosoma mtandaoni.Nyongo ya Mamba siyo sumu, ni uzushi na uongo uliozoeleka miongoni mwa jamii za kishirikina, sio kweli hata kidogo kwamba Nyongo iwe sumu.
Sasa wewe niambie kazi ya hiyo nyongo ya mamba mwilini mwa mamba ni ipi???
Nyongo ipo kwa binadamu, kwa kuku, mbuzi nk, kazi yake ni kumeng'enya mafuta ndani ya utumbo mwembamba, ndani ya utumbo mwemba ndimo usagaji wa chakula hufanyika.
Mamba hula vyakula vyenye protein na mafuta hivyo nyongo inamsaidia kuyeyusha mafuta yatokanayo na vyakula anavyokula.
Nyongo (bile) ni digestive juice.
Watu wengi wenye imani kwamba nyongo ya mamba ni sumu hao utakuta wamekulia katika imani za kishirikina na uchawi.
Kama nyongo hiyo ingekuwa ni sumu mbona yeye mwenyewe mamba si angekufa kabla ya kuua watu wengine au hata nyama yake isingekuwa inaliwa au hata kinyesi chake kingekuwa ni hatari na sumu kubwa.
Tumieni akili kuliko kupinga kijinga kwa kufuata mkumbo tu.
Angalia ndani ya Google uone watu waliofanya hizo tafiti.
Crocodile bile lethal poison??
Ha ha ha ndio mbao za maweIna ladha fulani ya uchachu ambao sijaupenda.
Kupata ithibati njema ,Ni kujaribu sumu ambayo inasadikika imetengenezwa na nyongo ya mamba kisha uhakikishe na kile ulichosoma mtandaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Usifanye proveline kt ya ulichosoma na kisimuliwacho?Pamoja na kwamba nimesoma mtandaoni lakini pia mimi nilisoma Biology o- level, ninafahamu kazi ya nyongo kwa ujumla wake na hakuna utofauti kati ya mnyama na mnyama, yaani nyongo ya kuku, mbuzi, ng'ombe, chui, simba, mtu, nyani nk, kazi yake ni moja tu nayo ni kusaga au kuyeyesha mafuta yanayoingia tumboni kwa njia ya chakula, nyongo inazalishwa na Ini na kuhifadhiwa kwenye kifuko kinachoitwa "gall bladder" ambacho kimeungana na ini, chakula kinapoingia katika utumbo mdogo ndipo gall blader humimina hiyo nyongo ili ikasage mafuta yaliyoambatana na chakula na mafuta yakisagwa ndipo hufyonzwa na vifyonzeo (olveollis kama sijasahau) ambavyo vimeungana na mishipa ya damu na hivyo mafuta yaliyoisha sagwa pamoja na chakula kilichosagwa ndani ya utumbo mdogo husafirishwa na damu katika sehemu mbalimbali za mwili, sasa kwa akili ya kawaida haiwezekani sumu itumike katika usagaji wa chakula tena itumike sehemu ambayo chakula kilichoyuyuka huwa kinafyonzwa kuingia kwenye damu ili kisambae mwili mzima ndiyo maana nikasema hata nyama ya mamba ingekuwa ni sumu pia na hata kinyesi cha mamba kingekuwa ni sumu pia kwasababu baada ya usagaji wa chakula mabaki ndiyo huwa ni kinyesi na kwa namna hiyo viboko wengi wangekufa kwasababu maisha ya viboko na mamba huwa ya ujirani kwa kiasi fulani na hata samaki na viumbe wengine wa majini wangekufa pia.
Hadithi ya Nyongo ya Mamba kuwa Sumu ipo huku kwetu sana, Afrika ya kati, mashariki na kusini lakini huwezi kusikia hadithi hizi huko Asia ambapo pia wapo mamba, huwezi kusikia hadithi hizi huko Canada na USA ambapo pia kuna mamba wakubwa kama hawa wetu wajulikanao kama Alligators, huko Brazili na maeneo ya mto Amazon kuna mamba wengi sana Wanaitwa Caiman crocodile, huko huwezi sikia kwamba nyongo ya mamba hao ni sumu na hao mamba wanakula vyakula vilevile wanavyokula mamba wetu (Nile crocs).
Ni hivi; Kuna baadhi ya mimea ni sumu sana na inakuwa ni sumu kali sana pale inapochanganywa na nyongo, nyongo yoyote ya mnyama yeyote na mamba anayo nyongo nyingi na anaweza kupatikana kirahisi ndipo Waganga wa kienyeji huchukua hiyo nyongo na kuchanganya na hiyo miti-sumu kupata matokeo bora zaidi ya hizo sumu.
Na watu wanasema ukichukua kiasi kidogo tu ndani ya ukucha na kumuwekea mtu ndani ya glasi ya maji au pombe basi huyo mtu ni baibai!!, ni uwezo wa nyongo ya mamba kusaidia kuipa nguvu miti-sumu hiyo.
Kifupi ni kwamba Nyongo ya Mamba kama ilivyo (per se) siyo sumu bali ni kiungo kizuri sana cha kufanya miti-sumu (toxic herbs) ziwe na nguvu kubwa sana ya kuua. Na hii ni lazima iwe ni miti-sumu na siyo synthetic toxin sumu za kutengeneza viwandani.
Na imani hii utaikuta kwa waganga wa kienyeji wanaotengeneza sumu za miti shamba wakichanganya na nyongo ya mamba na hivyo kuwadanganya watu kwa kujua au kutokujua kwamba Nyongo ya Mamba yenyewe kama yenyewe ni Sumu.
Na mimi nimeshangaa kuhusu hilo.Watu wenye imani za kishirikina huitumia kuangamiza watu kwa kuwawekea kwenye kinywaji kama chai au kahawa...
Kumbe watu wenye imani za kishirikina nao hutumia sumu kuua?
Kuna kile chakula cha asili cha wakurya kinaitwa kichuli kama sikosei kwenye uandaaji wake uwa wanaweka utumbo wa kawaida, utumbo taulo, maini, nyama mbichi ya kawaida na kuongezea nyongo ya mnyama aliyechinjwa. Na walaji wake hawafi kwa sababu ya hiyo sumu ya nyongo iliyowekwa.Mkuu, siyo kweli kwamba nyongo ya Mamba ni Sumu.
Ni kutokana na imani zilizozagaa sehemu mbalimbali za Afrika ya mashariki na kusini kwamba nyongo ya mamba ni sumu ndipo wanasayansi wakaamua kufanya utafiti juu ya hiyo nyongo, kuna mtafiti mmoja alichukua hiyo nyongo na kuwapa panya na nyani kitaalamu na wala hawakufa isitoshe huko mto zambezi kuna wachina wao kazi yao ni kuchukua nyongo ikiwa ndani ya (gall bladders) na kuikausha kisha kuipeleka China ikatumike kama dawa ya nguvu za kiume.
Nyongo ni kimiminika kinachozalishwa na ini kisha kuhifadhiwa katika kifuko kiitwacho gall bladder, kazi ya nyongo ambayo ipo kwa binadamu pia, ni uyeyeshaji wa mafuta yanayoingia na chakula katika utumbo mwembamba.
Watafiti wa mambo ya tiba na uganga wa asili wanasema nyongo ya mamba siyo sumu bali waganga wa miti shamba huchukua hiyo nyongo na kuchanganya na miti-shamba wanayoijua ambayo ni sumu, hivyo utaona kwamba sumu siyo hiyo nyongo bali sumu ni hiyo miti-shamba.
True true!Nyongo ya Mamba siyo sumu, ni uzushi na uongo uliozoeleka miongoni mwa jamii za kishirikina, sio kweli hata kidogo kwamba Nyongo iwe sumu.
Sasa wewe niambie kazi ya hiyo nyongo ya mamba mwilini mwa mamba ni ipi???
Nyongo ipo kwa binadamu, kwa kuku, mbuzi nk, kazi yake ni kumeng'enya mafuta ndani ya utumbo mwembamba, ndani ya utumbo mwemba ndimo usagaji wa chakula hufanyika.
Mamba hula vyakula vyenye protein na mafuta hivyo nyongo inamsaidia kuyeyusha mafuta yatokanayo na vyakula anavyokula.
Nyongo (bile) ni digestive juice.
Watu wengi wenye imani kwamba nyongo ya mamba ni sumu hao utakuta wamekulia katika imani za kishirikina na uchawi.
Kama nyongo hiyo ingekuwa ni sumu mbona yeye mwenyewe mamba si angekufa kabla ya kuua watu wengine au hata nyama yake isingekuwa inaliwa au hata kinyesi chake kingekuwa ni hatari na sumu kubwa.
Tumieni akili kuliko kupinga kijinga kwa kufuata mkumbo tu.
Angalia ndani ya Google uone watu waliofanya hizo tafiti.
Crocodile bile lethal poison??
Yanaitwa foxglove (digitalis purpurea), yapo ya aina nyingi tu, lakini the most common ones yana rangi ya zambarau.Hayana jina?
Mafuta ya chatu nimeyaonja Sana..na nimekuwa nikiyalamba sanaEeeh umewahi onja hiyo?
Hasara Umfika Mwenye Mabezo
Nyongo ya mamba siyo sumu. Ni uvumi potofu tu. Majaribio mengi yameshafanywa na wanasayansi na wote wamesema siyo sumu! Mwaka 2015 nchini Msumbiji walikufariki watu 75 kwenye sherehe baada ya kunywa pombe ya kienyeji. Uvumi ukavumishwa eti wamepewa sumu ya mamba. Wanasayansi wakafanya utafiti na kukuta ni aina ya bacteria waliosababisha hivyo vifo kwa sumu yao na siyo sumu ya mamba.Msiongee vitu hamjui nyongo ya mamba haichanganywi na kitu chochote wala haihitaji ushirikina ikisuuzwa kwenye glass na ukawekewa kitu ukanywa dakika 3 huchukui na huyo anayesema uchachu wake haupendi ni mpuuzi hiyo kitu haionjwi na mtu.
Miaka ya 70 alinyweshwa SSP mmoja walikuwa shahidi wa kesi ya mauaji mahali alitapika na kufia hapo matapishi yaliweka alama for more than 15 yrs.
Pia Mara nyingi akiuawawa mamba maliasili hufika na kumtoa nyongo navkuondoka Mayo.
Weka referenceNyongo ya mamba siyo sumu. Ni uvumi potofu tu. Majaribio mengi yameshafanywa na wanasayansi na wote wamesema siyo sumu! Mwaka 2015 nchini Msumbiji walikufariki watu 75 kwenye sherehe baada ya kunywa pombe ya kienyeji. Uvumi ukavumishwa eti wamepewa sumu ya mamba. Wanasayansi wakafanya utafiti na kukuta ni aina ya bacteria waliosababisha hivyo vifo kwa sumu yao na siyo sumu ya mamba.
mimi binafsi nakulaHivi kuna watu wanakula chatu na mamba na wako dunia hii hii jamani
Kma una subscription ya New York Times soma hapa. Ni gazeti linaloaminika sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1316][emoji1316]Ina ladha fulani ya uchachu ambao sijaupenda.
👊Yanaitwa foxglove (digitalis purpurea), yapo ya aina nyingi tu, lakini the most common ones yana rangi ya zambarau.
View attachment 1305442
Sent using Jamii Forums mobile app