Nyuma ya kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke anayemsukuma!

Nyuma ya kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke anayemsukuma!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Wakati kundi la watalii lilipotembelea shamba la mamba, mmiliki wa eneo hilo alizindua shindano la ujasiri, kwa kuwaambia wageni waliohudhuria kwamba.. "Yeyote anayethubutu kuruka, na k kuogelea hadi upande wa pili wa ziwa lile lenye mamba na kusalimika kuliwa au kujeruhiwa atampa $ 1,000,000.

Hakuna haha mmoja aliyethubutu walau kulisogelea like ziwa lakini ghafla, mwanaume mmoja aliruka ndani ya ziwa, na kuogelea kwa bidii, na kufika upande wa pili huku akifukuzwa na mamba wote.

Mmiliki akamtangaza Kama, "mshindi jasiri!!"

Baada ya mwanamume huyo kupokea zawadi yake, yeye na mke wake walirudi hotelini.

Alipofika, meneja alimwambia kwamba amekuwa jasiri sana kuruka.

Mtu yule akajibu, "Sikuruka, Kuna mtu alinisukuma!" Mke wake akatabasamu.....!!!

Ujumbe.. Nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa, kuna mwanamke anayemsukuma! 😁
1736622495339.jpg
 
Hiyo kauli inaifaa hii kizazi ya sasa...kizazi ya PUSI/NYAU/PAKA; ingawa nadhani itakuwa imeboreshwa sana, si mpaka yule anayejiita Godlove anawahimiza wanaume watafute pesa? Au na yeye ni mwanamke?
 
Wakati kundi la watalii lilipotembelea shamba la mamba, mmiliki wa eneo hilo alizindua shindano la ujasiri, kwa kuwaambia wageni waliohudhuria kwamba.. "Yeyote anayethubutu kuruka, na k kuogelea hadi upande wa pili wa ziwa lile lenye mamba na kusalimika kuliwa au kujeruhiwa atampa $ 1,000,000.

Hakuna haha mmoja aliyethubutu walau kulisogelea like ziwa lakini ghafla, mwanaume mmoja aliruka ndani ya ziwa, na kuogelea kwa bidii, na kufika upande wa pili huku akifukuzwa na mamba wote.

Mmiliki akamtangaza Kama, "mshindi jasiri!!"

Baada ya mwanamume huyo kupokea zawadi yake, yeye na mke wake walirudi hotelini.

Alipofika, meneja alimwambia kwamba amekuwa jasiri sana kuruka.

Mtu yule akajibu, "Sikuruka, Kuna mtu alinisukuma!" Mke wake akatabasamu.....!!!

Ujumbe.. Nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa, kuna mwanamke anayemsukuma! 😁View attachment 3198945
Kabisa
 
Hiyo kauli inaifaa hii kizazi ya sasa...kizazi ya PUSI/NYAU/PAKA; ingawa nadhani itakuwa imeboreshwa sana, si mpaka yule anayejiita Godlove anawahimiza wanaume watafute pesa? Au na yeye ni mwanamke?
😂😂😂😂
 
Unazungumzia wanawake hawa hawa ambao kila siku wanachojua ni kwenda salon, kushinda mitandaoni kufuatilia udaku, kutaka simu mpya kila ikitoka??
Hivi nyie hawa wakwenu huwa mnawapata wapi?😂
 
Back
Top Bottom