Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wakati kundi la watalii lilipotembelea shamba la mamba, mmiliki wa eneo hilo alizindua shindano la ujasiri, kwa kuwaambia wageni waliohudhuria kwamba.. "Yeyote anayethubutu kuruka, na k kuogelea hadi upande wa pili wa ziwa lile lenye mamba na kusalimika kuliwa au kujeruhiwa atampa $ 1,000,000.
Hakuna haha mmoja aliyethubutu walau kulisogelea like ziwa lakini ghafla, mwanaume mmoja aliruka ndani ya ziwa, na kuogelea kwa bidii, na kufika upande wa pili huku akifukuzwa na mamba wote.
Mmiliki akamtangaza Kama, "mshindi jasiri!!"
Baada ya mwanamume huyo kupokea zawadi yake, yeye na mke wake walirudi hotelini.
Alipofika, meneja alimwambia kwamba amekuwa jasiri sana kuruka.
Mtu yule akajibu, "Sikuruka, Kuna mtu alinisukuma!" Mke wake akatabasamu.....!!!
Ujumbe.. Nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa, kuna mwanamke anayemsukuma! 😁
Hakuna haha mmoja aliyethubutu walau kulisogelea like ziwa lakini ghafla, mwanaume mmoja aliruka ndani ya ziwa, na kuogelea kwa bidii, na kufika upande wa pili huku akifukuzwa na mamba wote.
Mmiliki akamtangaza Kama, "mshindi jasiri!!"
Baada ya mwanamume huyo kupokea zawadi yake, yeye na mke wake walirudi hotelini.
Alipofika, meneja alimwambia kwamba amekuwa jasiri sana kuruka.
Mtu yule akajibu, "Sikuruka, Kuna mtu alinisukuma!" Mke wake akatabasamu.....!!!
Ujumbe.. Nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa, kuna mwanamke anayemsukuma! 😁