bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
We ndio haujauelewa huu msemo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The naive whitekinights don't even know anything about women's hypergamous instincts....Ukweli halisi ni kwamba mwanamke uliye naye akipata best option anakukimbia. Huo ndio ukweli halisi
Vipi Baba hawezi kuwa nyuma ya mafanikio ya mwanae mpaka awe mama pekee?Hakuna mwanamke yoyote nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio zaidi ya mama yake na uyo mwanaume.
Mwanaume usidanganyike na huo msemo wa kijinga. Hata uyo mwanamke ambae upo nae nyakati za kujitafuta hawezi kuku-support kifedha au rasilimali yoyote.
The only thing she will provide is sex and when she find a better option along the way she will dump you.
Nyuma ya mafanikio yoyote ya mwanaume kuna maumivu, nidhamu, kukataliwa, hustles, failures, focus, resilience, hard work na sara za mama yake.
Women only come later and not before. They appear when the deal is done.
Focus my brothers
There is exception in everything and exceptionality doesn't count when we make the rules. The general rule is that women are opportunistics, so stay awake don't concerns yourself with those exceptions.Ili kupata takwimu halisi ni wanaume bila kutaka sifa tuanike uhalisia wa nafasi ya mwanamke katika mafanikio yetu na sio kuchukua takwimu za kesi.
Huwezi tafuta nguo safi jalalani. Mahakamani, ustawi ni jalalani linapokuja suala la mahusiano, ni sehemu ambayo mahusiano yameshaharibika sasa yanatupwa kwa utaratibu utakaozingatia sheria.
Huwezi kwenda huko kutafuta sample ya hitimisho la nafasi ya mwanamke katika mafanikio ya mwanaume sababu mwanamke hachangii directly kwenye mafanikio ya mwanaume, most of time michango yao ipo in background.
Mfano:
Una girlfriend, kaona tangazo la kazi gazetini, kalileta kwako na kukushauri uombe hiyo kazi, umefulia huna pesa, mwanamke wako akaenda kukununulia shati zuri, akakuandalia maji ukaoga, akakupa na nauli huku akikupa moyo kuwa anakuombea utapita, ukaenda ukiwa unajiamini, sura yenye bashasha na ukiwa mtanashati kisha ukapata kazi na ukawa tajiri.
Baada ya miaka 10 mmeshindwana sasa mnaachana, kesi ipo ustawi, nafasi ya huyu mwanamke katika utajiri wako unadhani inapimwaje? Na ndio kesi zilizojaa huko ustawi baina ya mke na mume walioamua kuachana.
Hii ni moja ya sababu huwa nawapuuza wanawake kwenye mjadala. Mnamshambulia mtu binafsi badala ya kushambulia hoja. Mahusiano yangu ni imara kabisa kwa sababu mwanamke nilienae amekubali kuishi kwa principles zangu. Sijawahi kumpenda mwanamke katika maisha yangu kufikia hatua ya kuwa haertbroken baada ya kuachana because love is for weak people.Unamiliki nini mbona uko paranoid hivyo?
Kwenye bold hapo unataka kusemaje? Tukitongozwa tukatae? Since Inaonekana hatuna jema tumebeba “ajenda” tu ya kunufaika.
Move on bana, waliokuumiza wameshamove on bado wewe unabeba chuki na kuispread kila mahali.
The so-called shangazis have the lowest SMV in the dating market and ain't no top-tier man drooling to them, na ndio maana kimbilio lao ni nyie vijana ambao bado mmepauka..... na ndio maana wanatumiaga nguvu nyingi sana kuboresha mahusiano yao kwa kuwahongaUngesema.
Lakini hata mpenzi inawezekana mfano ni jinsi mishangazi inavyotupaisha vijana.
baba ana mchango mkubwa sana, sema tu ndio ivyo wanaume sio watu wa kupenda spotlight kama hawa wenzetu kwaiyo ni nadra kukutwa wanaume tunakuja na misemo ya kujipakulia minyama au kukuta tunaanda events za kuitana mfalme wa nguvu.Vipi Baba hawezi kuwa nyuma ya mafanikio ya mwanae mpaka awe mama pekee?
Basi mwenyewe unaona ukitupuuza tunajali…Hii ni moja ya sababu huwa nawapuuza wanawake kwenye mjadala. Mnamshambulia mtu binafsi badala ya kushambulia hoja. Mahusiano yangu ni imara kabisa kwa sababu mwanamke nilienae amekubali kuishi kwa principles zangu. Sijawahi kumpenda mwanamke katika maisha yangu because love is for weak people.
Asante kwa ku-commentBasi mwenyewe unaona ukitupuuza tunajali…
Again, hakuna mtu mwenye mahusiano stable ambayo yuko bitter na wanawake wasiokuwa wanawake zake. Wewe wanawake za wenzio wanakuhusu nini if I may ask.
Ni sawa na Mimi niseme “wanaume wote ni mbwa” halafu nikudanganye nina mahusiano stable 😅 Hakuna mtoto humu ndani elewa.
HEAL and grow up, sisi Kama dada zako wa humu tunakusaidia ili kesho uje hapa “yapping” wanawake hawana msaada kwenye maisha ya mwanaume.
Ni hoja gani umeleta zaidi ya kumshambulia mwanamke? We are women, ain’t we? Tukuchekelee tu? Kisa?
Simjui natafuta ajira personally. Sina uhakika kama yuko bitter na wanawake, aidha ana mahusiano stable au laBasi mwenyewe unaona ukitupuuza tunajali…
Again, hakuna mtu mwenye mahusiano stable ambayo yuko bitter na wanawake wasiokuwa wanawake zake. Wewe wanawake za wenzio wanakuhusu nini if I may ask.
Ni sawa na Mimi niseme “wanaume wote ni mbwa” halafu nikudanganye nina mahusiano stable 😅 Hakuna mtoto humu ndani elewa.
HEAL and grow up, sisi Kama dada zako wa humu tunakusaidia ili kesho uje hapa “yapping” wanawake hawana msaada kwenye maisha ya mwanaume.
Ni hoja gani umeleta zaidi ya kumshambulia mwanamke? We are women, ain’t we? Tukuchekelee tu? Kisa?
Nawapenda ndio maana nawaambia ukweli. Kumbuka mama, dada, mashangazi, mabinti(kama nikijaliwa kuwa nao) zangu wote ni wanawake pia.wanawake wamekufanya nn tajiri
hutupendi
Sawa boss umeenda kwenye ingilishi ila:There is exception in everything and exceptionality doesn't count when we make the rules. The general rule is that women are opportunistics, so stay awake don't concerns yourself with those exceptions.
JF hatufahamiani tulio wengi…. kupitia maandishi utafahamu behaviour patterns za mhusika, kuna mambo hayadanganyi…. chukua hii weka mfukoni.Simjui natafuta ajira personally. Sina uhakika kama yuko bitter na wanawake, aidha ana mahusiano stable au la