Ila mchepuko mtamu saaaana unampiga show na kumbidulanga unavyojisikia,sasa mama wa ndani ukimletea ubunifu utamkuta anakuuliza ndo mchepuko kakufundisha hivyo,aaaah hapo ndo mnatukata stimu
Kwahiyo sisi tunajiandaaje? Tuangalie porn ili tupate hisia? Mkija mchomeke tuu?
Wazembe sana nyie wanaume. Ndio maana mkilala tunawaona kama ng'ombe imelala kitandani. Na mwanamke usipomridhisha hata heshima inapungua.